USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Nimemsikia Mbowe akiongea kwa jazba na kuonesha anamaanisha anachosema kuwa kwa sasa hawata mvumilia kiongozi yoyote kukaa madarakani kwa miaka mingi wakati hana record nzuri ya utendani na wanataka kuanza kufuatiliwa ili kumeitain serious credited work and periodically status .
Mbowe amesema hakuna mtu atakaa sana madarakani sana eti miaka mitano inatosha nikajiuliza vipi yeye au yeye haimuhusu hii
Ndani ya miaka 15 katatibu watatu mwenyekiti mmoja ratio ya mitano mitano
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe amesema hakuna mtu atakaa sana madarakani sana eti miaka mitano inatosha nikajiuliza vipi yeye au yeye haimuhusu hii
Ndani ya miaka 15 katatibu watatu mwenyekiti mmoja ratio ya mitano mitano
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app