What Missed Opportunity of A Great Statesman!. JSM Still Going Strong With A Good Sense of Humour!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,602
Wanabodi,
Licha ya kuhudumu kwenye media ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 27!. Sikumbuki kuwahi kumsikiliza Mzee John Samweli Malecela, akizungumza live kwenye TV, kwenye social event yoyote ila leo ndio kwa mara ya kwanza nimemuona na nimemsikiliza live.

Mzee Malecela alikuwa akizungumza kwenye kutoa vote of thanks kwenye event ya NBC kuhamia rasmi Dodoma iliyokuwa ikitangazwa live na TBC kutokea Dodoma, kiukweli kwa jinsi huyu Mzee anavyoongea, kiukweli amenigusa sana na haswa alivyo jovial at that age, but more surprisingly, jinsi alivyozungumza with a full sense of humour!.

Sii wengi wanaelewa kuwa, mtu kuwa na a good sense of humour ni kipaji!. Huyu Mzee Malecela kiukweli has a very good sense of humour, akiongea unatamani asimalize, aendelee tuu kuongea na kuongea!, huchoki kumsikiliza!. He is easy to talk to!. Sio hawa viongozi wa siku hizi, akiongea unamsikiliza kwa makini kwa heshima tuu huku kimoyo unajiuliza "atamaliza saa ngapi", huku kimoyomoyo ukiwishi "amalize haraka"!.

Kuna kipindi huyu Mzee alichukua fomu kugombea urais kupitia CCM, akapigwa zengwe!. Kwa jinsi nilivyomsikia leo, nikajiuliza "What a wasted opportunity Tanzania missed in making one of the great Statesman of Africa!.

Huyu angeupata urais wa Tanzania, angekuwa the next Africa Iconic Statesman of century baada ya Nelson Mandela!. What a missed opportunity!.

Nitajitahidi kuitafuta hii clip ili niiweke ndio labda wengi mtanielewa. akini long live Mzee John Samweli Malecela!.

Somo kwa viongozi wetu mliopo, mkiambiwa hamkujaaliwa kuwa na a good sense of humour, then mkihutubia, muwe mnatoa hotuba fupi, brief, compact na direct to the point, if you are not an orator, ukihutubia hotuba ndefu, no matter how important hotuba yako is, inaboa!. Watu wote wanakusikiliza attentively kwa heshima tuu na sio kwa interest.

Long live Mzee John Samweli Malecela!. You've made my day!.

Paskal.
 
Ingawa fulani akiongea huwa ni shida bado siafiki kuwa kwasababu Malecela amekuvutia kuongea basi alifaa kuwa raisi.
 
Huyu mzee is a very good mzee and I fully agree with you kuwa he's not boring at all. Oooops! I only heard twice, once upon a time.
Long live JSM!
 
Seriously? Kwa vile Tu anaongea vizuri ndio angekua juingozi bora kung'ara Africa?

JK na yeye alikua mzuri kwa kuzoza. Hata pale ambapo kuna jambo zito la jutetemesha nchi, akiongea mtacheka tu.

Sokoine sikubahatika kumsikia hotuba zake, kwa mujibu wa simulizi sidhani kama alikua na sense of humor lakini anakumbukwa kwa uongozi wake makini.

Ucheshi na kuongea vizuri inaweza kuwa miongoni mwa sifa za kiongozi, ila hazimfanyi mwenye nazi kuwa kiongozi bora.
 
Ungekuwa mwanamke ungekuwa "unatunuku" balaa maana kwako wewe mtu akikufurahisha tu hata kwa "tabasamu" au "mwondoko" unatamani kabisa umkabidhi IKULU maana unaona anafaa kuwa rais !
 
Pasco unapoongea mzee Malecela kuna vitu viwili vinakuja kichwani,je ni Lembabaz au Malecela PM?,kumbuka wote hawa ni wazee,Pasco unapoongea sense of humur kuna vitu viwili vinakuja kichwani,je ni Lembebez au yule PM,kumbuka FMES ana sense of humour sio ya nchi hii ahhg ahha
 
  • Laiti ungejua kwa nini, pamoja na kuwa Waziri, kwa matamshi ya dharau, alikataliwa na wana jimbo lake alipogombea ubunge mwaka 1980!
  • Laiti ungejua alivyovalia njuga swala la wastaafu wa iliyokuwa jumuiya ya Afrika Mashariki kutolipwa mafao yao baada ya jumuia kuvunjika!
  • Laiti ungejua alivyopinga demokrasia ya mfumo wa vyama vingi wakati huo akiwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais chini ya Ali Hasan Mwinyi!
  • Laiti ungejua alivyozunguka nchi nzima akiwataka Watanzania kutoridhia mfumo huo akitolea mifano ya nchi zingine zenye machafuko kama Rwanda!
  • Laiti ungejua alivyounga mkono Katiba kubadilishwa ili kumuongezea awamu ya tatu Ali Hasan Mwinyi kwa woga wa upinzani kutwaa madaraka!
  • Laiti ungejua tamaa zake za kuusaka Urais na utayari wake wa kubadilisha hata dini yake mradi tu apate udhamini na kura kwa mgongo wa dini!
  • Pascal Mayalla, laiti ungejua...! Ni heri hakuuona mlango wa Ikulu.
 
We had many such missed opportunities. Salim Ahmed Salim and Samwel Sitta; to mention just a few. The problem with them is that they could call a spade a spade instead of a big spoon. This led them into trouble and disqualified them from presidential posts.

Mtoto wake naye ni orator mzuri sana ambaye akianza kuongea hupendi aache kuendelea kuongea. Tofauti yake ni kuwa ana humor ya kileo mipasho na kadhalika).
 
Paskali ni kweli Mzee Malecela ana busara sana ktk kuongea na ungependa kumsikiliza tena na tena.

Lakini kama mwanadamu ana weakness zake ambazo zilionekana ktk uongozi wake na hasa pale aliposhindwa kumshauri na kumsaidia Rais Mwinyi kuhusu issue ya G55 kuhusu Serikali ya Tanganyika.
 
Uwezo Wa kuongea Hitler soma taarifa zake ,aliweza kutoa hotuba na audience ya watu laki moja na akiswing wanaswing kwa mvuto wahotuba zake. MTU ambaye hujatofautisha karma ya orator na matendo mema unakuwa bado no mchanga kimaisha, bado kusanya wisdom baadae utapambanua tu. Katika maisha kuona wanaume wasemaji wazurisana na mvuto Wa haiba lakini ndoa zinawashidakwa kutesa wake zao au waume. Tabia njema ni zaidi ya kuwa a good orator. Soma character za watu wenye Sifa za guru kwenye dini nawalivyoweza kuangamiza jamii za waumini wao. Mifano miwili tu ni Jim Jones alinywesha waumini wake cyanide 1000 huko jamaica miaka ya themanini na Kibwetere Wa Uganda alichoma waumini kwa kuwafugia kanisani.Mimi natahadharisha tuwe na fikra nzito sio kuhemuka kwa hotuba ya /za mtu, Mzee mwache ajipumzikie kwaamani amelifanyia makubwa nchi na alipata tuzo stahiki .Usimlete jf watu wataanza kumchambua ya kweli na uongo na kumkosea adabu bure..JAMII HUPATA UONGOZI STAHIKI NA WALA SIVKWA AJALI ,UKIONA MTU AMEPATA AU AMEKOSA URAIS BASI UJUE SIO STAHIKI YA HIYO JAMII. USIJUTE WALA KUSHANGILIA WEWE POKEA KIONGOZI AIYEPATA KUWA HUYO NDIYO ANAYEWAFAA WAONGOZWA . Mengine ni ushabiki tu na nchi haipati uongozi kwa mahaba ya wafuasi.
 
Sawa Mkuu Paskali..

Nafikiri one of the reason huyu Mzee amekuwa haonekani sana kwenye public ni kuficha aibu kwa yale yanayofanywa na kijana wake Le Mutuz..

Anaona kabisa ni kama ameleta HASARA kubwa hapa duniani.
 
Wanabodi,
Licha ya kuhudumu kwenye media ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 27!. Sikumbuki kuwahi kumsikiliza Mzee John Samweli Malecela, akizungumza live kwenye TV, kwenye social event yoyote ila leo ndio kwa mara ya kwanza nimemuona na nimemsikiliza live.

Mzee Malecela alikuwa akizungumza kwenye kutoa vote of thanks kwenye event ya NBC kuhamia rasmi Dodoma iliyokuwa ikitangazwa live na TBC kutokea Dodoma, kiukweli kwa jinsi huyu Mzee anavyoongea, kiukweli amenigusa sana na haswa alivyo jovial at that age, but more surprisingly, jinsi alivyozungumza with a full sense of humour!.

Sii wengi wanaelewa kuwa, mtu kuwa na a good sense of humour ni kipaji!. Huyu Mzee Malecela kiukweli has a very good sense of humour, akiongea unatamani asimalize, aendelee tuu kuongea na kuongea!, huchoki kumsikiliza!. He is easy to talk to!. Sio hawa viongozi wa siku hizi, akiongea unamsikiliza kwa makini kwa heshima tuu huku kimoyo unajiuliza "atamaliza saa ngapi", huku kimoyomoyo ukiwishi "amalize haraka"!.

Kuna kipindi huyu Mzee alichukua fomu kugombea urais kupitia CCM, akapigwa zengwe!. Kwa jinsi nilivyomsikia leo, nikajiuliza "What a wasted opportunity Tanzania missed in making one of the great Statesman of Africa!.

Huyu angeupata urais wa Tanzania, angekuwa the next Africa Iconic Statesman of century baada ya Nelson Mandela!. What a missed opportunity!.

Nitajitahidi kuitafuta hii clip ili niiweke ndio labda wengi mtanielewa. akini long live Mzee John Samweli Malecela!.

Somo kwa viongozi wetu mliopo, mkiambiwa hamkujaaliwa kuwa na a good sense of humour, then mkihutubia, muwe mnatoa hotuba fupi, brief, compact na direct to the point, if you are not an orator, ukihutubia hotuba ndefu, no matter how important hotuba yako is, inaboa!. Watu wote wanakusikiliza attentively kwa heshima tuu na sio kwa interest.

Long live Mzee John Samweli Malecela!. You've made my day!.

Paskal.
Kwa wasiomjua mzee Malecela was/ has always been a fair man.
Pamoja na mizengwe mingi aliyofanyiwa kama binadamu, sikuwahi kusikia akilipiza visasi.
Miaka akiwa Waziri Mkuu, nilifukuzwa kazi kwa mizengwe ya kughushiwa, baada ya malalamiko mengi suala langu likamfikia.
Alichofanya ni kumuonya tu, huyo aliyenifukuza kazi, nami nikawa absolved.
Nitamkubuka daima kwa hillo.
He is a gentleman of the Old School.
 
Lemutuz, lembebezi hebu njoo huku, eti wanasema ungekuwa na angalao robo ya akili za baba yako ungekuwa mbali sana tetetetetetete
 
Seriously? Kwa vile Tu anaongea vizuri ndio angekua juingozi bora kung'ara Africa?

JK na yeye alikua mzuri kwa kuzoza. Hata pale ambapo kuna jambo zito la jutetemesha nchi, akiongea mtacheka tu.

Sokoine sikubahatika kumsikia hotuba zake, kwa mujibu wa simulizi sidhani kama alikua na sense of humor lakini anakumbukwa kwa uongozi wake makini.

Ucheshi na kuongea vizuri inaweza kuwa miongoni mwa sifa za kiongozi, ila hazimfanyi mwenye nazi kuwa kiongozi bora.
But kwa wanaojua utendaji wa huyu mzee they know he could make a good president. He was once appointed in a group of 7 wise men in the world because of his result oriented leadership. Wanaokumbuka akiwa foreign minister he delivered hadi akaanza kuitwa Dr. malechela.
 
Naona kasumba ni ile ile ya wasomi kutokuweza kutumia lugha moja katika uandishi lazima kiingereza na kiswahili kichanganyike humo humo
 
Wanabodi,
Licha ya kuhudumu kwenye media ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 27!. Sikumbuki kuwahi kumsikiliza Mzee John Samweli Malecela, akizungumza live kwenye TV, kwenye social event yoyote ila leo ndio kwa mara ya kwanza nimemuona na nimemsikiliza live.

Mzee Malecela alikuwa akizungumza kwenye kutoa vote of thanks kwenye event ya NBC kuhamia rasmi Dodoma iliyokuwa ikitangazwa live na TBC kutokea Dodoma, kiukweli kwa jinsi huyu Mzee anavyoongea, kiukweli amenigusa sana na haswa alivyo jovial at that age, but more surprisingly, jinsi alivyozungumza with a full sense of humour!.

Sii wengi wanaelewa kuwa, mtu kuwa na a good sense of humour ni kipaji!. Huyu Mzee Malecela kiukweli has a very good sense of humour, akiongea unatamani asimalize, aendelee tuu kuongea na kuongea!, huchoki kumsikiliza!. He is easy to talk to!. Sio hawa viongozi wa siku hizi, akiongea unamsikiliza kwa makini kwa heshima tuu huku kimoyo unajiuliza "atamaliza saa ngapi", huku kimoyomoyo ukiwishi "amalize haraka"!.

Kuna kipindi huyu Mzee alichukua fomu kugombea urais kupitia CCM, akapigwa zengwe!. Kwa jinsi nilivyomsikia leo, nikajiuliza "What a wasted opportunity Tanzania missed in making one of the great Statesman of Africa!.

Huyu angeupata urais wa Tanzania, angekuwa the next Africa Iconic Statesman of century baada ya Nelson Mandela!. What a missed opportunity!.

Nitajitahidi kuitafuta hii clip ili niiweke ndio labda wengi mtanielewa. akini long live Mzee John Samweli Malecela!.

Somo kwa viongozi wetu mliopo, mkiambiwa hamkujaaliwa kuwa na a good sense of humour, then mkihutubia, muwe mnatoa hotuba fupi, brief, compact na direct to the point, if you are not an orator, ukihutubia hotuba ndefu, no matter how important hotuba yako is, inaboa!. Watu wote wanakusikiliza attentively kwa heshima tuu na sio kwa interest.

Long live Mzee John Samweli Malecela!. You've made my day!.

Paskal.

Shemeji yangu siku hizi sijuwezi Nikamwambia mdogo wangu aache kupiga UGALI aanze kukupikia MTORI.

Kama Kiongozi anaonekana vyema hatoweza kutenda kwa Busara na hekima yaani watakuwa na msimamo kwenye Uongozi wake kama akifanya haya:

1.Akiwa alikuwa/ana nyumba ndogo hope utanielewa.

2.Alishindwa kushika IMANI yake,huyu alibadili dini kama Mara mbili hivi.Mara ya kwanza alibadili ili apate Urais alioutaka na kama unashindwa kumwamini Mungu uliyeapa kumwamino kwanini Mungu akuaminishe kulipa Taifa lake uliongoze.Akirudi kwenye dini yake tena baada ya kuamua kyoa mke wa Pili.

Inshort hakutufaa kuwa Kiongozi, maana alishindwa kumkiri na kumuamini Mungu aliyeapa kumuabudu akaamua kutafuta Mungu mwingine wa kumuabudu lazima upigwe chini tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom