What is wrong with TCU

What is wrong with TCU

MAIGEJK

Member
Joined
Oct 1, 2016
Posts
12
Reaction score
1
Tatizo ni nini nikiingia kwenye profile yangu ya TCU koz nilizoomba zote hazipo imebaki moja tu ya DUCE Bsc.Education na wala sikuiomba
 
Kuna shida kwenye maombi yako, kwingine inasema - the system is closed to allow ....
 
Kuna shida kwenye maombi yako, kwingine inasema - the system is closed to allow ....
kwingne inaandika hivyo lakn kwenye kuview selections inaonyesha course moja tu tena hata ambayo sikuichagua
 
Tatizo ni nini nikiingia kwenye profile yangu ya TCU koz nilizoomba zote hazipo imebaki moja tu ya DUCE Bsc.Education na wala sikuiomba
Utachaguliwa hio iliyopo au hupendi kwenda DUCE.
 
kama ulifanya 2nd round ni kawaida huwa inatokea sometimes tcu wanapokuwa wanafanya selection inakuwa kwamba profile zinaingiliana angalia unapologin jina na no inayokuja kama ni yako, Tatizo hilo huwa ni temporary tu ila Kama namba na jina ni lako basi huenda ikawa case tofauti ingawa inatokea Mara kadhaa ila inaisha
 
kama ulifanya 2nd round ni kawaida huwa inatokea sometimes tcu wanapokuwa wanafanya selection inakuwa kwamba profile zinaingiliana angalia unapologin jina na no inayokuja kama ni yako, Tatizo hilo huwa ni temporary tu ila Kama namba na jina ni lako basi huenda ikawa case tofauti ingawa inatokea Mara kadhaa ila inaisha
Ok!asantee.. namba na jina vyote ni sahihi
 
Back
Top Bottom