The secretary yuko wapi aizime! khaaaaaaaa, we The secretary wewe, unaitwa huku bana!
Hivi kumbe The secretary ndiye mkunaji wa hiyo midevu ya shaba? Lol
hasa jaji huyo
See? Kumbe mnajuana....
mke mwenza hali zako?? mi mith u khaaaa! hivi maandamano yetu ya jana yaliishia wapi khaaaaaaa!
bishanga huwa ni pigo moja mbuyu chini....kwi kwi kwi kwi