jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,635
Habar jf
Kwa wasiojua historia it's crazy!!!
This is just what if
Mwaka 1937
British alikua ameshikilia maeneo ya
Mombasa Na Zanzibar
Angalia Raman
Na tunajua Tanzania n muungano tanganyika na Zanzibar....
Assume Kama Zanzibar na Mombasa zingedai uhuru mapema na kuupewa so ovious ingekua nchi moja ingawa sdhan Kama ingeitwa Zanzibar ....but tuassume ingeitwa Zanzibar
Halafu Baada ya tanganyika kupata uhuru zingeungana Kama ilivo Sasa
So Mombasa ingekua sehemu ya Tanzania!!
Nini kingebadilika Tanzania
-Tanzania ingekua ndiyo nchi kubwa zaidi East Africa
-Tanzania ingekua ndyo nchi ya kwanza kwa idadi ya watu .Kwasasa ~~mil 59 estimate
As per census ya 2017
Na miji yote miwili mmoja no moja -Dar es Salaam
No mbili Mbombasa yote ikipatikana Tanzania .... Mind you Mombasa city alone n Kama watu milion 1.7
Ukiunganisha na county zinazoizunguka za kwale na kiliwa~~~ almost milion5
Mombasa ya British ilijumumisha izo count mbili so total watu Milion7 ivi approx.
So kwa Sasa Ndyo tungekua na population ya watu milion 65/66
Tanzania = watu milion 66
-Tanzania ingekua ndyo mother of port in East Africa
Ikiwa na the largest water port dar es Salaam
And the second largest water port Mombasa
-Tanzania ingekua ndyo yenye largerst costal line ukitoa Somalia
-Tanzania ingekua ndyo fastest growing Country in East and central Africa above Angola ,Kenya , Ethiopia but behind nigeria,South Africa and Egypt
-Tanzania ingekua the most powerful millitary in Africa above All east african countries Ethiopia,uGanda,Kenya,Sudan and southen Angola hata Nigeria military wasingeona hapa....but behind Egypt
Hapa watu watataka kujua
Kuwepo kwa Mombasa ya mwaka1937 Kama sehem ya Tanzania kungefanya tuwe karibu Sana na Somalia hivo KUFANYA security risk....So muda huu majeshi ya Tz ya ngekua Somalia, pamoja na majeshi ya Ethiopia na Kenya
...Kenya ingepata ahueni hapa....
So Kutoka kupgana na Uganda 1978 na Kuwa katka constant operation za kijeshi Somalia bas Tanzania ingehitaji
Military Navy za kutosha,War plan n helicopters
Kwa kenya!!....
wataongelea wenyewe
Just comment what u think
This is based on assumptions,not political issues .....
Jiwekuu
Kwa wasiojua historia it's crazy!!!
This is just what if
Mwaka 1937
British alikua ameshikilia maeneo ya
Mombasa Na Zanzibar
Angalia Raman
Na tunajua Tanzania n muungano tanganyika na Zanzibar....
Assume Kama Zanzibar na Mombasa zingedai uhuru mapema na kuupewa so ovious ingekua nchi moja ingawa sdhan Kama ingeitwa Zanzibar ....but tuassume ingeitwa Zanzibar
Halafu Baada ya tanganyika kupata uhuru zingeungana Kama ilivo Sasa
So Mombasa ingekua sehemu ya Tanzania!!
Nini kingebadilika Tanzania
-Tanzania ingekua ndiyo nchi kubwa zaidi East Africa
-Tanzania ingekua ndyo nchi ya kwanza kwa idadi ya watu .Kwasasa ~~mil 59 estimate
Na miji yote miwili mmoja no moja -Dar es Salaam
No mbili Mbombasa yote ikipatikana Tanzania .... Mind you Mombasa city alone n Kama watu milion 1.7
Ukiunganisha na county zinazoizunguka za kwale na kiliwa~~~ almost milion5
Mombasa ya British ilijumumisha izo count mbili so total watu Milion7 ivi approx.
So kwa Sasa Ndyo tungekua na population ya watu milion 65/66
Tanzania = watu milion 66
-Tanzania ingekua ndyo mother of port in East Africa
Ikiwa na the largest water port dar es Salaam
And the second largest water port Mombasa
-Tanzania ingekua ndyo yenye largerst costal line ukitoa Somalia
-Tanzania ingekua ndyo fastest growing Country in East and central Africa above Angola ,Kenya , Ethiopia but behind nigeria,South Africa and Egypt
-Tanzania ingekua the most powerful millitary in Africa above All east african countries Ethiopia,uGanda,Kenya,Sudan and southen Angola hata Nigeria military wasingeona hapa....but behind Egypt
Hapa watu watataka kujua
Kuwepo kwa Mombasa ya mwaka1937 Kama sehem ya Tanzania kungefanya tuwe karibu Sana na Somalia hivo KUFANYA security risk....So muda huu majeshi ya Tz ya ngekua Somalia, pamoja na majeshi ya Ethiopia na Kenya
...Kenya ingepata ahueni hapa....
So Kutoka kupgana na Uganda 1978 na Kuwa katka constant operation za kijeshi Somalia bas Tanzania ingehitaji
Military Navy za kutosha,War plan n helicopters
Kwa kenya!!....
wataongelea wenyewe
Just comment what u think
This is based on assumptions,not political issues .....
Jiwekuu