Zinduna hao dolphins wapo seven na sio nine?
Nimeshindwa kilichoandikwa kwa mchoro, ila nimeona watu kama wamekumbatiana
Zinduna una mambo njakazi weye!
Dadaangu umenifurahisha, hebu tizama pembeni ya hivyo vichwa vyao huku ukifikiria samaki au Dolphin!Me pia Sijaona chochote zaidi ya hao watu lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Si umeona wewe umepata nane?