What a Powerful Picture

Najaribu kufikiria kama vile bi mkubwa ana bifu na marehemu Magufuli!
Kwa namna alivyo fika hapo alipo kwa mbeleko ya magufuli asingepaswa kuhudhuria msiba huu, ikizingatiwa magufuli alikua anampenda sana mama yake.

Anyway jana si leo na kesho kesho kutwa.
 
Hapo kuna masnitch kama watatu Kakurwa Nchimbi sio kuaminika na wasira
 
Agenda ya taifa letu kwa mwaka 2030-2040 ni Dr Emmanuel John Nchimbi.

hakuna ubishi kwenye hilo gentleman 🐒
 
SAWA.
Hapana. Siyo SAWA.
Sitaki kueleza kwa sasa.
Ila niambie tu huyo wa kwanza kulia mstari wa mbele ni nani.
 
Hapo kuna masnitch kama watatu Kakurwa Nchimbi sio kuaminika na wasira
Kakurwa, Wasira?
Huwezi kuendelea kuwa na mchanganyiko wa samaki waliooza na wazima. halafu uwawasilishe sokoni kuwauza.

Tuache maigizo na aina hii katika taifa letu.
 
Ukishasikia "kiroho" tu, ujue famba.
 
Ukishasikia "kiroho" tu, ujue famba.
Mkuu kiranga Wewe tunajua fika mada zinazohusu Issue za Kilimani au Kiroho huwa huziamini Lakini watu Wana macho makali sana ya kuona mbali
 
Litoe li wasira zee lla hovyo hilo lisiloweza kuipambania TANGANYIKA shame kabisa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…