Wha gwan mheshimiwa

Wha gwan mheshimiwa

swaki la jiti

Member
Joined
Oct 6, 2017
Posts
97
Reaction score
60
One love
FB_IMG_15681083462358327.jpeg
 
Kwenye stesheni ya Redio Jambo nchini kenya kuna kipindi huwa kinaanza saa nane kinaitwa reggae teke teke, na watangazaji wanaotangaza wako wawili. Mmoja anaitwa MBUSI na mwingine anaitwa LION. utawasikia wakiseme mbusi na lion teke teke. Nadhani huyu aliegonga na mh kama sio MBUSI basi atakua LION.

elimu haina mwisho. Ni hayo tu

MATAGA
 
Uhuru ndio rais pekee mshkaji Afrika na kwa mabeberu alikua Obama
 
Safi Sana mwana Nipo hapa nakula vitu vyangu karibuni
tapatalk_1558026471703.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom