Uwizi?what kind of language is this?af jibu lake magamba wanachakachua tuuu, wezi wapo kitaa wanakula bata,chambo ndo zinapanda basi la kijani, af mpango mzima jion chambo zinapelekwa kitaani asubuh zinarudi jela kuzuga! Acha kabisaaa, hi nji ni sayari tofauti na unavyodhani weee! Wez wa visweleswele vyenye mdondo na watoto wa wakulima ndo wako jela halaaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.