Katika harakati za kukuza teknohama worldwide, wajapan wameunda mashine ya kukamata wezi na kuipeleka nchi zifuatazo kwa majaribio: urusi, baada ya nusu saa ikakamata wezi 40, jamaica baada ya dakika 20 ikakamata wezi 100, Ghana baada ya dakika 15 ikakamata wezi 7860, China baada ya dakika 10 ikakamata wezi 2500, Tanzania baada ya dakika 5, mashine yenyewe ikawa imeibiwa.