Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,521
- 13,999
View attachment 298240
Kuna jamaa yangu anauza stroller,ila hajui bei yake maana aliletewa zawadi toka nje ya nchi.
Kama unahitaji toa ofa yako.
Stroller ipo Arusha.
Mwenye bei kubwa ndio atakayechukua mzigo.
Unaweza niPM ofa yako au weka hapa jukwaani.
Hakuna anayetaka hii kitu?
Mi naitaka lakini angeitangaza huyo jamaa yako.......mambo ya dalali huwa yananisumbua kidogo..........
Kwa bei za dukani ni elfu 40 hadi 120000 inategemea na duka na imetengenezewa nchi gani,ukubwa na ubora pia
Nina elfu 30 kamili inalipa?kesho niifate
Poa lugha kwa mteja haiwi hivyo umesema tutoe offer zetu tunatoa unatuambia twende dukani kama dukani vinauzwa kwann unavitangaza humu,specifics husemi unategemea watu tutoe ofa zipi kama si kutoa ofa za bei ya mtumbani
wewe muuzaji umepewa bure nawe toa bure
Hapa dalali anajua bei ila amekuja kutega akili za watu.
Peleka Dukani ukaiuze Dalali ww.View attachment 298240
Kuna jamaa yangu anauza stroller,ila hajui bei yake maana aliletewa zawadi toka nje ya nchi.
Kama unahitaji toa ofa yako.
Stroller ipo Arusha.
Mwenye bei kubwa ndio atakayechukua mzigo.
Unaweza niPM ofa yako au weka hapa jukwaani.
Peleka Dukani ukaiuze Dalali ww.
Utapata mnunuzi tu mkuu, subira inavuta kheri
Asante kwa ofa yako nzuri,bado hujafika bei!
Jamaa yako kapewa zawadi,iweje wewe ukatae hiyo offer?