Kwa mfano ukiambiwa uinuke uanze kutembea kwa miguu mpaka pale utakapopigiwa simu na Mpenzi wako,je were unaweza ukatembea kwa umbali gani?
Mimi ninaweza nikatembea kutoka Hapa Nairobi Hadi Afrika Kusini bila ya kutumiwa message yoyote na Mpenzi wangu achia mbali kupigiwa simu
Sisi wengine tumejiegesha tu kwa watu tunazuga tunapendwa kumbe full kuteswa tu