Wewe upo kundi gani hapo? UKIMWI upo

Wewe upo kundi gani hapo? UKIMWI upo

mkuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
1,627
Reaction score
1,462
1. Wasichana walio katika umri wa balehe walio katika mazingira hatarishi.
2. Vijana walio katika umri wa balehe.
3. Watoto yatima na watoto walio katika mazingira hatarishi (yaani watoto wanaoishi mitaani).
4. Wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao.
5. Wanawake wanaofanya ngono kinyume na maumbile.
6. Watu wanaotumia dawa za kulevya hasa wale wanaotumia dawa za kulevya kwa njia ya kujidunga sindano.
7. Wanawake wanaofanya biashara ya ngono na wateja wao.
8. Wafungwa.
9. Wakimbizi na wafanyakazi wanao hamahama hasa madereva wa malori ya masafa marefu.
10. Wachimba madini na jamii zilizopo katika maeneo ya migodi.
11. Wavuvi na jamii zilizopo katika maeneo ya uvuvi.
12. Wafanyakazi wa kwenye mashamba makubwa.
13. Wajenzi wa barabara na watu wenye ulemevu
 
nashukuru mungu sipo kwenye kundi lolote. ila nna mtu wangu mjenzi wa barabara. natakiwa niwe makini sasa.
 
17. Wale wenye ndoa zao na bado wanaendekeza michepuko
 
18. Mama ntilie sehemu yanakolala magari makubwa ya safari ndefu
 
19. Watoto walio tumboni mwa HIV + pregnant women
 
Back
Top Bottom