Wewe ungemfuta yupi?

"Hivyo mtu atawaacha baba na mama yake, naye ataambatana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja". Just thinking aloud.....
Unapotumia maandiko kumbuka pia "waheshimu baba yako na mama yako siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana Mungu wako".Na iko katika amri kumi za Mungu.
 
Aisee mtoto n wa muhm kwen mume hafi mapema ataanzsha familia yake bt still mi mama ake
 
nabakiza mtoto kwani kuoa ni wajibu but kuzaa ni majaliwa
 
Jamani mzazi kukulea haimaanishi labda anakupa favor bali ni wajibu kwa mzazi kumlea mtoto wake na kumpatia mahitaji yote muhimu. Na mtoto kumheshimu mama ni wajibu wake kama mtoto wala sio ombi hivyo tusitake kuona kwamba mzazi katupendelea saaana anapokuwa ametimiza majukumu yake tukumbuke kuwa na yeye ni Mme/Mke wa mtu mwingine hivyo anawajibika kwa mwenzi wake pia. Mungu hakuumba mama au baba wa mtu bali aliumba mume na mke. Watoto ni zawadi tu ambao hufanya Mke au mume aitwe baba au mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…