Pamoja na hilo lakini mzazi ana sehemu kubwa kwako. MKE/MME mmekutana ukubwani, mzazi wako mara ngapi amekesha amekubeba bila kulala usingizi?
Wazazi kukulea mpaka ukafikia umri wa kujitambua ni issue nzito sana, you can delete them, but you have to think twice.