Wewe unakabiliana vipi na Hali hii

Wewe unakabiliana vipi na Hali hii

Dah wewe dada umeandika kama x-wangu vile...! Tulipendana sana ila future ya ndoa ilikuwa ngumu sababu ya dini tofauti! Dah sijui nani alileta dini!
 
Wazazi wanaanzaje kuwapangilia watu waliokutana wanavyojuana. Na ukute wazazi wenyewe nao walipingwa enzi wanachumbiana wakafanya ngumu na mwisho wa siku wakafanya familia iliyo bora.

Ila Leo wao wanaona ni faraja kwao kuwawekea wengine ngumu; ila Mimi nafurahia wazazi Wangu hawana tabia hizo Dada zangu nne walileta wachumba na wote wanaishi nao adi leo likewise kwa wanaume.

Wazee acheni ukuda
 
Back
Top Bottom