Wewe unakabiliana vipi na Hali hii

Wewe unakabiliana vipi na Hali hii

Tanzanian lady

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2017
Posts
261
Reaction score
321
Habari za jumapili wapedwa
Mungu ni mzuri jumapili iko vyema.

Nimekaa hapa ghafla nawaza
Katika maisha kuna watu/ mazingira yanatufanya tuwe mbali kihisia ( mfano, wazazi wanakukataza kuoa/kuolewa) na mtu Fulani ambaye unakuta kashakukaa moyoni na kumtoa inakuwa vigumu

Kuna haja ya kuwasiliana na mtu ambaye bado mnapendana lakini there is no future hata ya kuonana uso Kwa uso. Ukiangalia mlishakuwa na good time pamoja.
Ukijaribu kumuacha uanze upya mnajikuta mmerudisha mawasiliano vizuri tu lakini yasiyo Na msingi wowote maana teyari kuna vizuizi.

Karibuni Kwa mawazo yenu!
Yours
Tanzanian Lady

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jumapili wapedwa
Mungu ni mzuri jumapili iko vyema.

Nimekaa hapa ghafla nawaza
Katika maisha kuna watu/ mazingira yanatufanya tuwe mbali kihisia ( mfano, wazazi wanakukataza kuoa/kuolewa) na mtu Fulani ambaye unakuta kashakukaa moyoni na kumtoa inakuwa vigumu

Kuna haja ya kuwasiliana na mtu ambaye bado mnapendana lakini there is no future hata ya kuonana uso Kwa uso. Ukiangalia mlishakuwa na good time pamoja.
Ukijaribu kumuacha uanze upya mnajikuta mmerudisha mawasiliano vizuri tu lakini yasiyo Na msingi wowote maana teyari kuna vizuizi.

Karibuni Kwa mawazo yenu!
Yours
Tanzanian Lady

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeweka wazi mrembo ili tukushauri acha kuficha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasa ukute wazazi walokole aisee usiombe,

Na kuna ile wazazi hawataki kkuona kwenye mahusiano eti adi umalize shule....unajikuta umri umefika harafu upo tu, ona watakavyo kupressurize,

Waafrika tunashida sana....ila kuanzia sisi vizaz vyetu vitakuwa tofauti.
 
Hasa ukute wazazi walokole aisee usiombe,

Na kuna ile wazazi hawataki kkuona kwenye mahusiano eti adi umalize shule....unajikuta umri umefika harafu upo tu, ona watakavyo kupressurize,

Waafrika tunashida sana....ila kuanzia sisi vizaz vyetu vitakuwa tofauti.
Acha kabisa maisha Yana mitihan mingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi wanachangia wengi kuharibu future zao. Kuna dada mmoja aliopelekaga mchumba kwao kumtambulisha the way walivyompokea yule kaka haikumpendeza binti . Maana walianza kumdharau mbona yuko hivi mara vile kavaa suti kama mchungaji hatumtaku yupo yupo tuu. Yani yule dada aliumia mpk leo hajawahi kuzungumzia mwanaume pale kwao hajaolewa na sasa hivi anaelekea 40 something hana mtt na wala si mama wala ndg zake wanauliza maana wanakumbuka walivyomfukuzia mchumba wake.
 
Wazazi wanachangia wengi kuharibu future zao. Kuna dada mmoja aliopelekaga mchumba kwao kumtambulisha the way walivyompokea yule kaka haikumpendeza binti . Maana walianza kumdharau mbona yuko hivi mara vile kavaa suti kama mchungaji hatumtaku yupo yupo tuu. Yani yule dada aliumia mpk leo hajawahi kuzungumzia mwanaume pale kwao hajaolewa na sasa hivi anaelekea 40 something hana mtt na wala si mama wala ndg zake wanauliza maana wanakumbuka walivyomfukuzia mchumba wake.

Mpe pole sana
 
Msimamo ndo dawa ya hiyo kitu, wengine huwa tukisema YES bac itabaki kuwa YES hata viwekwe vikwazo gani na kama ni NO bac haitabadilika.

Namna pekee ni kujifunza tenaa maana na YES na NO na uwezo wakusimania hayo maneno mawili.
Over....!!!
 
Wazazi wanachangia wengi kuharibu future zao. Kuna dada mmoja aliopelekaga mchumba kwao kumtambulisha the way walivyompokea yule kaka haikumpendeza binti . Maana walianza kumdharau mbona yuko hivi mara vile kavaa suti kama mchungaji hatumtaku yupo yupo tuu. Yani yule dada aliumia mpk leo hajawahi kuzungumzia mwanaume pale kwao hajaolewa na sasa hivi anaelekea 40 something hana mtt na wala si mama wala ndg zake wanauliza maana wanakumbuka walivyomfukuzia mchumba wake.
Mara nyingi ndio vikwazo Na kutuponza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu anachagua maisha yake.......so sioni umuhimu wa wazazi or mzazi kumkataza mtoto wake asiolewe na mtu fulani otherwise huyo mtu anajulikana kwa tabia mbaya......hapo sawa
 
[QUOTNinanyix, post: 22693072, member: 199534"]Hivi hali ilivyo ngumu hv unaweza kaa ukawaza mahaba full time.. Bila pepo la pesa kukupitia ukagundua account yako ukichomeka kadi kwenye ATM hata haishtuki

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
Mkuu jina lako linafanana kidogo na langu, lako Lina maana gani. Langu ni aina ya madini
 
Back
Top Bottom