Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,413
- 119,330
Habari za Jumatatu hii wakuu.
Binafsi niseme tu wazi kwamba lile tukio la uwanja wa taifa lilinisikitisha na lilinikatisha tamaa sana. Lilinifanya nianze kujitazama upya na kufikiria mwelekeo mpya wa maisha yangu japo sioni direction.
Nikiongea na watu walionizidi umri,hekima na maarifa wananiambia kujiajiri pekee ndiko kutanikomboa...lakini nikiangalia mkononi sina kitu ntajiajiri vipi?
Najua wapo watu hapa waliokuwa kama mimi wakathubutu,wakaweza na sasa wanasonga mbele. Naomba waje waniambie walifanyaje? Yani waliweza kujiajiri bila kuwa na chanzo chochote cha mapato au kwa lugha nyepesi niseme bila mtaji.
Unaweza usiwe wewe ila una ndugu, rafiki,mke/mume,kimada au jirani aliyepitia experience kama hiyo hapo unakaribishwa.
Karibuni.
Binafsi niseme tu wazi kwamba lile tukio la uwanja wa taifa lilinisikitisha na lilinikatisha tamaa sana. Lilinifanya nianze kujitazama upya na kufikiria mwelekeo mpya wa maisha yangu japo sioni direction.
Nikiongea na watu walionizidi umri,hekima na maarifa wananiambia kujiajiri pekee ndiko kutanikomboa...lakini nikiangalia mkononi sina kitu ntajiajiri vipi?
Najua wapo watu hapa waliokuwa kama mimi wakathubutu,wakaweza na sasa wanasonga mbele. Naomba waje waniambie walifanyaje? Yani waliweza kujiajiri bila kuwa na chanzo chochote cha mapato au kwa lugha nyepesi niseme bila mtaji.
Unaweza usiwe wewe ila una ndugu, rafiki,mke/mume,kimada au jirani aliyepitia experience kama hiyo hapo unakaribishwa.
Karibuni.