Wewe ni TRA, PCCB, CAG. Pia ni Gavana, Waziri na Katibu Mkuu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,246
103,952
Wewe ndo PCCB, wewe huyo huyo ni Mahakama, pia ni Mahakama kuu na rufaa. Heeeh kumbe wewe ni TRA pia na CAG wewe pia. Ukiangalia kwa engo nyingine wewe ni Daktari pia Mkurugenzi.

Wewe ndo waziri wa wizara zote na Katibu Mkuu. Wewe ndo polisi, hakimu wewe. Sasa tena umekuwa spika wewe na Engineer ni wewe, RAS, DED na Gavana ni wewe....

Bahati mbaya inakuwa ngumu tu wewe kuwa KUB ama mwenyekiti wa CHADEMA, Means bila wewe hakuna kinachoendelea.
 
Wewe ndo PCCB,wewe huyo huyo ni Mahakama,pia ni Mahakama kuu na rufaa.Heeeh kumbe wewe ni TRA pia na CAG wewe pia.Ukiangalia kwa engo nyingine wewe ni Daktari pia Mkurugenzi.Wewe ndo waziri wa wizara zote na Katibu Mkuu.Wewe ndo polisi,hakimu wewe.Sasa tena umekuwa spika wewe na Engineer ni wewe,RAS,DED na Gavana ni wewe....Bahati mbaya inakuwa ngumu tu wewe kuwa KUB ama mwenyekiti wa CHADEMA,Means bila wewe hakuna kinachoendelea

Utaki niwe Mimi?
Kuwa wewe basi
 
Wewe ndo PCCB,wewe huyo huyo ni Mahakama,pia ni Mahakama kuu na rufaa.Heeeh kumbe wewe ni TRA pia na CAG wewe pia.Ukiangalia kwa engo nyingine wewe ni Daktari pia Mkurugenzi.Wewe ndo waziri wa wizara zote na Katibu Mkuu.Wewe ndo polisi,hakimu wewe.Sasa tena umekuwa spika wewe na Engineer ni wewe,RAS,DED na Gavana ni wewe....Bahati mbaya inakuwa ngumu tu wewe kuwa KUB ama mwenyekiti wa CHADEMA,Means bila wewe hakuna kinachoendelea
Ni alpha na Omega!!
 
Wewe endelea na majungu nchi inasonga mbele.

Kwa hii reshuffle inayofanyika, baada ya miaka miwili hakuna Mtanzania atakayelala njaa.
 
Wewe endelea na majungu nchi inasonga mbele.

Kwa hii reshuffle inayofanyika, baada ya miaka miwili hakuna Mtanzania atakayelala njaa.
mbona kila kitu mnachukulia majungu?kwa nini isiwe nia njema?
 
Wewe ndo PCCB, wewe huyo huyo ni Mahakama, pia ni Mahakama kuu na rufaa. Heeeh kumbe wewe ni TRA pia na CAG wewe pia. Ukiangalia kwa engo nyingine wewe ni Daktari pia Mkurugenzi.

Wewe ndo waziri wa wizara zote na Katibu Mkuu. Wewe ndo polisi, hakimu wewe. Sasa tena umekuwa spika wewe na Engineer ni wewe, RAS, DED na Gavana ni wewe....

Bahati mbaya inakuwa ngumu tu wewe kuwa KUB ama mwenyekiti wa CHADEMA, Means bila wewe hakuna kinachoendelea.
Imekuuma???
 
eeeeeeh,ndugu mwandishi wa habari,ulikuwa unataka kusema nini vilee,kuna mahali ulikuwa unakuja kuja vizuri lakini naona kama umeharakisha kumalizia vilee
 
pasipo kodi zetu serikali haiendi.
Yeye mwenyewe halipi kodi halfu anakuwa juu ya kodi yangu, namshukuru Mungu sijui kuyaungani unganisha ki-Aisisi aisisi manake ningepanda juu ya mbuyu nijilipulie huko juuuu (dodoma ndio kuna mibuyu)
 
Back
Top Bottom