WEWE MWANA JF ANGALIA JINA LAKO HAPA. Je Limo?

JINA LAKO LIPO HUMU?
Haya ndo baadhi ya majina ya wafanyakazi wenye mishahara ya kima cha chini Waliouziwa viwanja TMK na kuwaacha walala hoi wakilia na kuishia kutozwa Tsh 30,000 /= Bure

1. Wilson Mukama
2. Job Ndugai
3. Prof. Makame Mnyaa
4. Pereira Ame Silima
5. Dr. Florence Turuka
6. RAmadhani Kijjah
7. Omari Chambo
8. Dr. Idrisa Rashid
9. Dr. Didas Masaburi
10. Jerry Slaa
11. Paul Chagonja
12. Suleiman Kova
13. Haruna Masebu
14. Ludovick Uttoh
15. Marina Njelekela
16. Augustino Mrema.
17. Deo Filikunjombe
18. Sylivester Koka
19. Idd Azan
20. Cyril Chami
21. Mohamed Misanga
22. David Kafulila
23. Dr. Peter Kafumu
24. Selemani Zedi
25. Maulid Komu
26. Suzan Lyimo.
27. Dr. Marry Mwenjelwa
28. Zakhia Megji
30. Miraji Kikwete
31. Khalifani Kikwete
32. Junita Mramba
33. Suzan Mkapa
34. Zainab Mkomwa
35. George Rupia
36. Maimuna Mfutakamba
37. Mary Membe
38. Pharles Njelela
39. Judith Kahama
40. Wilfredy Mwanry

Na kwa taarifa yako hawa niwa ambao wamelazimika kwamba majina yao yatumike pia, hivi unadhani mtu kama Ridhiwani Kikwete amekosa Kiwanja?
 
BornTown, unasemaje eti?? ngoja nivae miwani ni kama vile macho hayaoni vizuri....

BACK TO THE TOPIC
Hii ndio Tz... ni zaidi ya uijuavyo. Hili linanikumbusha historia ya sinza na chanzo cha kuitwa sinza kwa wajanja...pengine wanataka kutengeneza tena kwa wajanja huko au wenyenazo street...



Sorry ni UCHAMBUZI!
 
Kilio cha samaki machozi.....TaaaaaanzaniaX2 nakupenda kwa moooooyo woteeeee!
 
jina lako lipo humu?
Haya ndo baadhi ya majina ya wafanyakazi wenye mishahara ya kima cha chini waliouziwa viwanja tmk na kuwaacha walala hoi wakilia na kuishia kutozwa tsh 30,000 /= bure

1. Wilson mukama
2. Job ndugai
3. Prof. Makame mnyaa
4. Pereira ame silima
5. Dr. Florence turuka
6. Ramadhani kijjah
7. Omari chambo
8. Dr. Idrisa rashid
9. Dr. Didas masaburi
10. Jerry slaa
11. Paul chagonja
12. Suleiman kova
13. Haruna masebu
14. Ludovick uttoh
15. Marina njelekela
16. Augustino mrema.
17. Deo filikunjombe
18. Sylivester koka
19. Idd azan
20. Cyril chami
21. Mohamed misanga
22. David kafulila
23. Dr. Peter kafumu
24. Selemani zedi
25. Maulid komu
26. Suzan lyimo.
27. Dr. Marry mwenjelwa
28. Zakhia megji
30. Miraji kikwete
31. Khalifani kikwete
32. Junita mramba
33. Suzan mkapa
34. Zainab mkomwa
35. George rupia
36. Maimuna mfutakamba
37. Mary membe
38. Pharles njelela
39. Judith kahama
40. Wilfredy mwanry

lako na langu likiwemo nachana vyeti vyangu vya shule na chuo vyoooteeeee
gidawa gidae
 
Alafu ceo wa tanesco mh william mhando ataacha kujipa tenda ya kampuni wakurugenzi wanawe...m nafikiri hizi ni historia kinachoendelea ni kujirudia na hii ni kwa sababu ya uoongozi mkuu uliopo madarakani....kama umeona jana balozi wa rwanda amemueleza mh mengi ooh samahani dk r.mengi kinachofanikisha maendeleo ya rwanda ni kimoja tu ..uongozi uliopo ilifika wakati ufanye maamuzi magumu sana sana kwa ajili ya maendeleo ya taifa na watu wake bila kujali kundi dogo la mafisadi kuchezea nchi
akamwambia mengi anashangaa baadhii ya nchi afrk mashariki akusema tz...zinaongozwa na wafanyabiashara watokao nje ...rwanda wajaziriamali wenye pesa zao ni wazawa na hii ni kuweka mfumo unaowezesha wazawa kusaidiwa na watakaotaka kuwekeza rwanda ...so nahisi ni wakati muafaka sasa raisi wetu kufanya maamuzi magumu je akianza na haya...kule arusha kuna jina la mwanae kamiliki kiwanja na vigogo wengine unahisi what next???ni ngumu watanzania....na laana inayowaumiza ni kitendo cha kumshirikisha mungu kwenye uchafu wenu....wakati wa uchaguzi kwa kuita "chaguo la mungu"""mungu ashiriki kwenye uchafu kabisa kabisa na ushabiki wenu hilo ndilo litawaumiza mpaka mwombe rehema za mungu kwamba mnajuta kumwita mtu chaguo la mungu bila yeye kujua mungu alie hai
 
V ile viwanja vya arusha wakaagaiana wakina kikwete rizi na wenzake imeishia wapi..sasa kama tunaendelea hivi basi sishangai ikulu kugawiwa watoto wa vigogo siku za mwisho na wewe mwambie babako ama mamako akugawie chako mapema
 
JINA LAKO LIPO HUMU?
Haya ndo baadhi ya majina ya wafanyakazi wenye mishahara ya kima cha chini Waliouziwa viwanja TMK na kuwaacha walala hoi wakilia na kuishia kutozwa Tsh 30,000 /= Bure

1. Wilson Mukama
2. Job Ndugai
3. Prof. Makame Mnyaa
4. Pereira Ame Silima
5. Dr. Florence Turuka
6. RAmadhani Kijjah
7. Omari Chambo
8. Dr. Idrisa Rashid
9. Dr. Didas Masaburi
10. Jerry Slaa
11. Paul Chagonja
12. Suleiman Kova
13. Haruna Masebu
14. Ludovick Uttoh
15. Marina Njelekela
16. Augustino Mrema.
17. Deo Filikunjombe
18. Sylivester Koka
19. Idd Azan
20. Cyril Chami
21. Mohamed Misanga
22. David Kafulila
23. Dr. Peter Kafumu
24. Selemani Zedi
25. Maulid Komu
26. Suzan Lyimo.
27. Dr. Marry Mwenjelwa
28. Zakhia Megji
30. Miraji Kikwete
31. Khalifani Kikwete
32. Junita Mramba
33. Suzan Mkapa
34. Zainab Mkomwa
35. George Rupia
36. Maimuna Mfutakamba
37. Mary Membe
38. Pharles Njelela
39. Judith Kahama
40. Wilfredy Mwanry

Namba 30 & 31 ndio mimi sema nimetumia vijana wangu tehe tehe tehe!!
 
....halafu 2015 tunatia pamba masikioni na kuwachagua hao hao..,eeh mola hebu fanya muujiza kuamsha hii jamii ya waliolala.
 
kama wameomba na kupewa kihalali bila kupendelewa sioni shida kwa hili
ila kama wametumia vyeo vyao kulazimisha kupewa ndio itakuwa shida.

Shida lazima iwepo.

Hivi viwanja nakumbuka vilitangazwa kwa ajili ya wananchi wenye kipato cha chini, na ndio maana asilimia kubwa ya waliojaza fomu ni watu ambao kipato ni cha tia maji tia maji. Hapa ofisinikwetu wafanyakazi wenzangu 3 walijaza fomu hizi hakuna aliyepata, hawa ni watu ambao hawana ardhi, walitaka wanunue viwanja hivi ili nao wamiliki ardhi.

Sasa unamnyima mtu ambaye hana ardhi unaenda kumuongezea mtu ambaye hadi sasa anamiliki zaidi ya square meter 1,000 za ardhi, je? tabaka hili nani atakuja kuliziba? kwa nini upendeleo? wametumia kigezo gani kuwanyima hawa watu masikini wa ukweli (kama hawa wafanyakazi wenzangu walioomba) na wametumia kigezo gani kuwapa hawa wenye majina maarufu? Hili ndilo suala la msingi.
 
unajua nimegundua watanzania tunapenda kudandia treni kwa mbele. viwanja vipo 1, 800 vigogo wamepewa 40. kwa hesabu za haraka hiyo ni 3%, viwa nja 1760, 97% vimeenda kwa hao makabwela. halafu kafulila nae kigogo, kapata ubunge 2010, kabla ya hapo nae alikuwa mlalahoi. toa ubunge wake nae ni mtanzania anahitaji kiwanja ajenge, ubunge nao ni kazi lazima ajiendeleze. hili gazeti la mwananchi nilikuwa naliamini kwa habari za ukweli lakini mwaka huu nina wasiwasi nao kuna tatizo.

Majasho relax and take notes,pumzika kwenye a/c kwanza upate ubaridi,tatizo la hao vigogo ni kwamba kila mradi wamo tu,we sikilizia mradi wa bukoba utaona majina hayo hayo tu! We haujaona miraji kikwete kila mradi yumo kuanzia kinyerezi hadi arusha! Kinacholalamikiwa hapa ni kwamba hawa jamaa wanatumia nyazfa zao kujilimbikizia viwanja,wananchi walioomba wengi hawana hata viwanja lkn hao vigogo walioomba wanaviwanja kila mkoa na still bado tu wana banana na walalahoi ebu nenda kinyerezi ukalione hekalu la miraji kikwete kwanza kweli ukiwa mtoto wa mkubwa full raha yani hata huyu mvuta bangi wa block41 naye ana mjengo wa kifahari?
 
Na kwa taarifa yako hawa niwa ambao wamelazimika kwamba majina yao yatumike pia, hivi unadhani mtu kama Ridhiwani Kikwete amekosa Kiwanja?

Mkuu ipo hivi unatuma majina hata 10 kwa mfano riz1 anaweza ktk hyo list akawa na viwanja zaidi ya 10 sema katumia majina ya watu wengine ngoja tufatilie siku ya ulipaji.
 
anyway...siyo lazima wote tuishi bongo!kwanza kuna joto, pili kuna foleni, tatu kuna maisha magumu....naenda kutafuta kiwanja na shamba Namanyele kwa mbunge wangu Mhe. KESSY

Baada ya siku mbili serikali itakuhamisha kwamba KUNA MRADI UNAPITA HAPO! chunga sana kununua mashamba na viwanja kiholela! siku hizi kuna miradi EPZ, Kigamboni, MAkongo Juu, na kwenginenko so angalia na huko utafika tu !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom