Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
JINA LAKO LIPO HUMU?
Haya ndo baadhi ya majina ya wafanyakazi wenye mishahara ya kima cha chini Waliouziwa viwanja TMK na kuwaacha walala hoi wakilia na kuishia kutozwa Tsh 30,000 /= Bure
1. Wilson Mukama
2. Job Ndugai
3. Prof. Makame Mnyaa
4. Pereira Ame Silima
5. Dr. Florence Turuka
6. RAmadhani Kijjah
7. Omari Chambo
8. Dr. Idrisa Rashid
9. Dr. Didas Masaburi
10. Jerry Slaa
11. Paul Chagonja
12. Suleiman Kova
13. Haruna Masebu
14. Ludovick Uttoh
15. Marina Njelekela
16. Augustino Mrema.
17. Deo Filikunjombe
18. Sylivester Koka
19. Idd Azan
20. Cyril Chami
21. Mohamed Misanga
22. David Kafulila
23. Dr. Peter Kafumu
24. Selemani Zedi
25. Maulid Komu
26. Suzan Lyimo.
27. Dr. Marry Mwenjelwa
28. Zakhia Megji
30. Miraji Kikwete
31. Khalifani Kikwete
32. Junita Mramba
33. Suzan Mkapa
34. Zainab Mkomwa
35. George Rupia
36. Maimuna Mfutakamba
37. Mary Membe
38. Pharles Njelela
39. Judith Kahama
40. Wilfredy Mwanry
Source. Temeke Municipal list posted at one of the containers just near land/evaluation offices!!!!! Hapo umesahau majina ya wake za vigogo na watoto zao mpaka mahawara ninawafahamu wamo!!! Kwa walala hoi kiwanja kimoja ilikuwa hongo ya 1m kwa low density na range from 500,000 to 1m kwa medium density. Kama umepata kiwanja pale bila kuhonga basi ni baada ya kuwa wahongaji hawakutokea na ndiyo maana kulikuwa na some delays, na vichache ndivyo vikatoka kihalali. Nilitaka nikamtakamtishe officer pale na PCCB ila nikawa nimesafiri. Ila nawahakikishia wana JF next round ya viwanja nitaleta issue kubwa pale!! Nimeshaanda PCCB officers. Liwalo na Liwe!!!