Wewe jibapa wewe

Haaahahahaha!huyo jamaa ameshapiga ngapi hapo?maana mpaka aanze kulishangaa jibapa hilo kuna vingine kadhaa kichwani![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Haaahahahaha!huyo jamaa ameshapiga ngapi hapo?maana mpaka aanze kulishangaa jibapa hilo kuna vingine kadhaa kichwani![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anaona kama maandishi yamegeuka halafu yanacheza mziki
 
Anaona kama maandishi yamegeuka halafu yanacheza mziki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Daah hiyo ndiyo kawaida ya jibapa a.k.a Lusekero !Ile nembo ya WANAUME WA SHOKA WAJENGAO BILA KUCHOKA unaweza kuiona iko upside down.
 
anamwambia yule jamaa aliyeinua mikono kwenye logo "naaam!!, we kweli mwanaume"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…