dullah saw
Member
- Jan 26, 2021
- 6
- 7
Kipindi cha nyuma nilikuwa naweza kupokea pesa western union lakini sasa hivi nikitumiwa pesa zinagoma kuja shida ni nini?
Hata upande wa Bank sijui kuna shida gani.. Nimekuwa natumia account ya USD Equity bank lakini cha kushangaza eti client mpya ananiambia kuwa swift code haitambuliki.. Anyway jumatatu nitakwenda bank kuuliza maana hata sielewi shida niniSystem sijui imekumbwa na nini, siku 7 zilizopita nimekutana na changamoto hiyo
Pole bestieHata upande wa Bank sijui kuna shida gani.. Nimekuwa natumia account ya USD Equity bank lakini cha kushangaza eti client mpya ananiambia kuwa swift code haitambuliki.. Anyway jumatatu nitakwenda bank kuuliza maana hata sielewi shida nini
AsantrePole bestie

Eehee basi kutakuwa na shida aiseee..nami pia ni muhanga, naongezea:
1. muamala toka Xoom to Equity , hauonekani upo wapi
2. muamala toka Equity kwenda chinese bank kwa swift, hauonekani upo wapi