Western Propaganda Turns Mugabe into a Tyrant

Hivi do we know when the game is going to be over? Sio mchezo! Mzee anarindima.
 
HATAKI KUINGILIWA MAAMUZI YA NCHI YAKE...NA KWA UZURI ....HE HAS MASS SUPPORT YA WANANCHI WAKE NA SI VITISHO KAMA WENGINE WAFANYAVYO....nakupenda mzee wangu....KAZA BUTI
 
This octogenarian president never ceases to amaze me...! He still seems so determined to hold on the presidency untill probably death does them apart
 
huyu nae nafikiri nguvu ya umma inamkaribia hana lolote zaidi ya kuharibu nchi ya zimbabwe!
 
Huyu dikteta nae zake zimefika. Kama sio kiumri ataondolewa kwa kura au nguvu. Anafanya sherehe za kuzaliwa wakati watu wake ugali mkavu hawapati.
 
kuna mtaalam mmoja anawaita wazungu weusi kwa kukaa sana na wazungu na wanakiburi cha kizungu isipokuwa jamii zao ndio zina waangusha hawa mashujaa wa kiafrika.

Nyerere, Nkrumah na viongozi wengi wa mwanzo wa nchi za Afrika.

Leo tunaviongozi vidampa tu.

LONG LIVE MUGABE AND ZIMBABWE
 
Huyu dikteta nae zake zimefika. Kama sio kiumri ataondolewa kwa kura au nguvu. Anafanya sherehe za kuzaliwa wakati watu wake ugali mkavu hawapati.

Percival!
Nguvu ya umma sometimes haitabiriki, cheki yaliyotokea Libya, amini usiamini wananchi wa Libya wana maisha bora kuliko wananchi wa nchi nyingi tu za ulaya, achilia mbali za huku kwetu Africa. lakini watu wanasema Ghadafi Gooooooo! Mugabe sasa hivi maisha ni magumu wanakula ugali mkavu kama usemavyo lakini cha ajabu wananchi wake wanampenda bado. na wazungu anawatukana atakavyo na wakati wowote na lolote hawamfanyi!! maajabu ya nguvu ya umma hayo!!
 
Baada ya kumfanyia mibano ya kiuchumi iliyopeleikea kushusha thamani ya pesa ya Zimbabwe, Rais Mugabe ameruhusu matumizi ya dola za Marekani katika matumizi yote ya kawaida ndani ya nchi. Mimi sio mchumi na sijui kama itakuwa na madhara zaidi baadae ila ninachoona ni kwamba angalau mambo yatakuwa nafuu kwa kiasi flani. Alisikika akisema, "sasa kama wanataka kuendelea na ubabe wao washushe na thaman ya dola yao" Balaa hili limeanzia kwenye kuwapora mashamba walowezi wa wazungu miaka michache iliyopita. Aibu zaidi ni kwamba huku kwetu ndio tunawamilikisha wazungu mashamba mpaka yale yanayotumiwa na wenyeji kisha tunawatimulia mbali. Enzi zile za kuwapora mashamba wazungu Mugabe alisema hivi " "The land is ours. It's not European and we havetaken it, we have given it to the rightful people... Those of white extractionwho happen to be in the country and are farming are welcome to do so, but theymust do so on the basis of equality"
Na hakuishia hapo mtu mzima bali aliongeza hivi"
"The white man is not indigenous to Africa. Africa isfor Africans. Zimbabwe is for Zimbabweans"
Usiniulize kuhusu hapa kwetu, i know nothing!
 
Wengi wetu si wasomaji wa History ila ni watazamaji wa Historical TV si rahisi kumjua BOB wa Rhodesia
 
I like Bob Mugabe and his stance although he looks like old gorilla.
 
Ni miongoni mwa viongozi wachache kabisa waliobaki Africa waliokuwa na imani hasa ya kiafrika, Japo Mugabe amesoma sana (Nadhani ndio raisi anayeongoza afrika kwa kusoma), lakini hakuwa na mind za kimagharibi

kwa kweli waafrika tunahitaji viongozi kama hawa kwa sasa, maana tunakoelekea nchi kama Tanzania na zinazofanana na hii ni kubaya kabisa, tunafikia kugawa kila cha maana tulichonacho (madini, mafuta,gas, wanyama, Ardhi nk) kwa wageni bila kuwa na faida yoyote
 
Mugabe ameifanya Pesa ya Zimbabwe kuwa takataka, Uchumi umeshuka sana, fujo isiyo ya msingi, kuzuia demokrasia, kufikiria kuwa yeye tu ndiye kiongozi wa maisha n.k na sisi wa Africa ndiyo tunamwita huyu mtu anaakili? je wasio na akili wanafnaya nini sasa!!
 

Toa *****!
 
huyo amzidi wakwetu,kwetu mwekezaji ni muhim kuliko mzawa anasafiri kila siku kwenda kuwatafuta.
 
Hakuna Mzimbabwe wa kawaida anaifaidia na hali ya sasa. Wanaofaidika ni Mugabe na jeshi tu! Tatizo la Africa si wazungu wala wawekezaji ni Wafrica wenyewe! muda wa mkoloni umeshapita hakuna lawama tena!
 

Mataifa ya magharibi hususani WACAMERUNI ndiyo wameshinikiza hayo unayomzulia BOB wa Ukweli,kwa sera zao za kibeberu, kupandikiza fikra mbovu kwa wazimbabwe kupitia kivuli cha demokrasi,kwa kuwatumia vibaraka wao kuleta vurugu ndani nchi kulikopelekea Bob wa ukweli ku assume political standing aliyonayo sasa ili kuhakikisha mkoloni hatii maguu direct au kupitia ndumilakuwili katika ardhi ya zimbabwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…