Superhuman 1995
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 1,506
- 2,453
Wapenda haki popote mlipo tunapaswa kuperurusha #tag yetu ya free TAL kwa page za mitandao ya kijamii ya media kubwa duniani kama CNN, Aljazeera, BBC sio BBC swahili, Newyork times hii campaign isiwe na mwisho mpaka dunia nzima ijue yanayoendelea Tanganyika huku tukiwa na Quotation yetu pendwa ya No reforms no election, hakika campaign yetu itasikika duniani