Nisahihi kabisa bwana Nyani, unakuta eti kwa mfano ukizungumzia maswala ya maendeleo, yeye ataki anasema achana na kujipa mawazo baby, ehh niambie kesho tutatoka out,? Yaan yeye ana habari hataki kujua hata mshahara wako ni kiasi gani, anachojua yeye ni matumizi tu, fanya ufanyavyo pesa kwake haitoshi, wakati hataki kuuza hata maandazi, hakupi changamoto yoyote ,anafurahia kupanga panga na kuhama hama mtaamzima nyumba zote mmeshakaa,!! kazi sasa anajua upo kazini lakini muda wote anataka kuchart na wewe....nyumbani kwenyewe shida kibao kama ulivyotoka ndivyo utakapopakuta jion, kujiongeza kwake ni kosa la jinai............