Wenyeji wa Kabanga, nataka kufanya biashara maeneo ya mpakani

Abby Senior

Senior Member
Feb 14, 2015
154
60
Nataka kufanya biashara kabanga mpakani naomba kama nitapata namba ya mtu yeyote aliyepo kabanga nifanye nae mawasiliano
 
Kumbe Kabanga ni eneo fulani, mm nilijua ni yale mambo ya 0712
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…