georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,870
Mbona leo mtasema yote?Wanaume wa kiafrika akili zote zipo kwenye k
Mbona leo mtasema yote?Wanaume wa kiafrika akili zote zipo kwenye k
Ukiona mtu analalamika ujue limemfikahapana ndugu yangu, nilikuwa nataka kuhabarisha umma tu.
habari zenu...
jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.
na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....
ni hayo tu.
usiku mwema kwa wote.
nasikia akilegea massage inageukia kwenye vifanyio............duh akitoka huko uchafu wote wa ndani na nje ameacha saloon:yo::yo:hii dunia hatari sana
Heeheee. we mdada ni nooomaaaa. Ina maana hata bro unamfananisha na kuku? Hatareeee. Ok bhana. Na nyie wanawake muanze kujisachi, muone kama mnatenda haki, ili wanaume zenu wasiwe kama kuku? Wadada mkishaolewa baasi... masharti kibao, mara leo umenuna, mara kichwa kinauma, mara tulale tu tutado siku nyingine, mara mafuriko yataanza muda wowote.... Kiasili, wanaume tuko tofauti, k ni kama addiction. ukimletea zengwe, wala hazipiti siku mbili kwa sababu k yako haina tofauti na zile zingine, isipokuwa zile zingine hazina strings attached, yaani ni kujisevia. kalieni k zenu mkidhani wanaume ni kama kukuuu.... balaa sanaa, hasa hili la kuku...Ukiishi kwa kuogopa kuwa mwanaume atatoka nje unaweza kuja kumwabudu binadam mwenzio. Mwanaume hatosheki kama kuku tu, ukimpa chakula hata kizuri ataenda kudonoa cha jalalani. Atakushangaza ubaki mdomo wazi