Wenye Waume/Wapenzi Muwe Makini..

Wenye Waume/Wapenzi Muwe Makini..

ndo maana huwa nakataa kufanyiwa hayo ma scrub. Nilishawahi fanyiwa scrub dada akawa anafanya bidii kunitekenya maskio huku namuona kwenye kioo anapiga sana chabo fraizi akidhani mjamaa kapata stimulation.
 
wale hawana attraction kama nyie waafrika kitu tetrasakrini aka rangi mbili lazima udinde..

mwishowe mtatuambia tununue na mashine za kunyolea tuwe tunawanyoa wenyewe nyumbani. semeni ukweli mko weak sana (baadhi).
 
Ukiolewa na mwafrika kubali yote kwao mwanamke ni chombo cha starehe yake na ni mtumwa wake
lol.....unaweka mgomo?halafu eti wenyewe ni kuangalia mpira na sijui upuuzi gani....likija baadae linakoroma hata hulali vizuri,mwenzio rahaa tupu wkati ww upo physically tired lol...ila wajasiriamali unaweza ukafungua chuo cha hayo madude ya scrub naona kuna demand siku zinavyoongezeka lol
 
ndo maana huwa nakataa kufanyiwa hayo ma scrub. Nilishawahi fanyiwa scrub dada akawa anafanya bidii kunitekenya maskio huku namuona kwenye kioo anapiga sana chabo fraizi akidhani mjamaa kapata stimulation.

wewe unafaa sana...hongera. na ukiwa strict wenyewe wananywea.
 
habari zenu...

jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....

ni hayo tu.

usiku mwema kwa wote.

Jamani jamani jamani acheni kuwaonea wadada wa saloon. huenda wanatupa vitu hadimu ambavyo ubavu wetu hawatupatii ama kwa makusudi au kwa kuto kujua nini watufanyie ili tusilogwe na watundu wa saloon
 
Jamani jamani jamani acheni kuwaonea wadada wa saloon. huenda wanatupa vitu hadimu ambavyo ubavu wetu hawatupatii ama kwa makusudi au kwa kuto kujua nini watufanyie ili tusilogwe na watundu wa saloon

mimi siipingi kazi yao, ni kazi kama nyingine na inajulikana worldwide. tatizo hawaifanyi kiproffessional, wanaifanya kimitegomitego kitu ambacho si sahihi.
 
Ukiishi kwa kuogopa kuwa mwanaume atatoka nje unaweza kuja kumwabudu binadam mwenzio. Mwanaume hatosheki kama kuku tu, ukimpa chakula hata kizuri ataenda kudonoa cha jalalani. Atakushangaza ubaki mdomo wazi
 
Ukiishi kwa kuogopa kuwa mwanaume atatoka nje unaweza kuja kumwabudu binadam mwenzio. Mwanaume hatosheki kama kuku tu, ukimpa chakula hata kizuri ataenda kudonoa cha jalalani. Atakushangaza ubaki mdomo wazi
MamaBeata nimekugongea LIKE, kuku kuku tu, hata umpe keki jalalani ataenda tu, mtakufa kwa presha bure wanawake wenzangu. Jifanyeni kama hamyaoni hayo
 
Last edited by a moderator:
Usiombe kuwe na kaubaridi halafu titi lake kaligusisha kwenye bega lako weeeee raha yake haielezeki. sijui kale kajoto wanakatoa wapi

mh kwani mpenzi wako hayo mat..... hana? ya huyo mdada wa saluni yana nini cha zaidi?
 
MamaBeata nimekugongea LIKE, kuku kuku tu, hata umpe keki jalalani ataenda tu, mtakufa kwa presha bure wanawake wenzangu. Jifanyeni kama hamyaoni hayo

hatuna presha lkn kama kuna mambo ambayo si sawa katika jamii lazima tuyakemee hata kama wahusika hawatajali.
 
mie nafikiriaga wanaume wa kiafrica wana zero tolerance towards ladies afections...ukimuonyesha paja tu tayari kadinda,ndio maana wana stori za kijinga kama kutandikiwa kitanda na house gal ndilo linalompelekea kulala naye,hawa viumbe ni hopeless:tape2:

safi sana kumbe watujua kuwa sie upanja tuu tumedinda....so mbona mnakuwa wazembe na kuwaachia mahouse girl watutandikie kitanda...tutawagegeda. clearly says alot about ur willingness to have a successful marriage
 
Ukiishi kwa kuogopa kuwa mwanaume atatoka nje unaweza kuja kumwabudu binadam mwenzio. Mwanaume hatosheki kama kuku tu, ukimpa chakula hata kizuri ataenda kudonoa cha jalalani. Atakushangaza ubaki mdomo wazi

wewe unawajua wanaume na upo realistic
 
safi sana kumbe watujua kuwa sie upanja tuu tumedinda....so mbona mnakuwa wazembe na kuwaachia mahouse girl watutandikie kitanda...tutawagegeda. clearly says alot about ur willingness to have a successful marriage

no clearly ni wewe ndio unaonekana una mapungufu ,umeishi na wazazi wako miaka nenda rudi ulikuwa unatandika kitanda,umeishi mwenyewe umetandika mwenyewe kitanda leo umeoa ndio unaona issue kutandika?....no i like to think there are few GOOD men,ambao kwao hii ni issue ndogo sana.......by the way mumemuajiri housegal aje anenepeane bila sababu?yes atafua.....kama unadindisha ukitandikiwa kitanda inaonyesha udhaifu you shouldnt get married at first place!!!
 
no clearly ni wewe ndio unaonekana una mapungufu ,umeishi na wazazi wako miaka nenda rudi ulikuwa unatandika kitanda,umeishi mwenyewe umetandika mwenyewe kitanda leo umeoa ndio unaona issue kutandika?....no i like to think there are few GOOD men,ambao kwao hii ni issue ndogo sana.......by the way mumemuajiri housegal aje anenepeane bila sababu?yes atafua.....kama unadindisha ukitandikiwa kitanda inaonyesha udhaifu you shouldnt get married at first place!!!


first of all hiyo ya kitanda ni mfano tuu, atleats as far as i understood it. the main issue hapa ilikuwa kuwa wanawake walinde mizigo yao. sasa inawezekana kuwa hulindi mzigo wako kwa njia nyingi tofauti apart from the housegirl kutandika kitanda na mie kudinda.....worry not kitanda sii twatandika wote tukiamka as part ya kuwake up in a good way for both of us.
kuhusu kudinda wewe bwana there was a lady hapa majuzi alisema kuwa sie wanaume ni visiaul creatures na pia ukumbuke housegirl nae ataka kukupindua ati so she myt tempt me. yes it does not excuse my kudindisha na kumgegeda, but it highlights perhaps a luck of attention from the wife.

kudindisha wanaume tutadinsha tuu wen we see kitu kizuri...posta hapo mie nadindisha kila siku ya Mungu but do i sleep with all the women ambao wanafanya nidinde? no! its human nature to have those desires but u do not act on each and every single desire. so u cant say eti i shouldnt get married becoz nadidnsha at the very sight of a pretty lady or housegirl kabonoka...if that were the case no man would enter marriage
 
first of all hiyo ya kitanda ni mfano tuu, atleats as far as i understood it. the main issue hapa ilikuwa kuwa wanawake walinde mizigo yao. sasa inawezekana kuwa hulindi mzigo wako kwa njia nyingi tofauti apart from the housegirl kutandika kitanda na mie kudinda.....worry not kitanda sii twatandika wote tukiamka as part ya kuwake up in a good way for both of us.
kuhusu kudinda wewe bwana there was a lady hapa majuzi alisema kuwa sie wanaume ni visiaul creatures na pia ukumbuke housegirl nae ataka kukupindua ati so she myt tempt me. yes it does not excuse my kudindisha na kumgegeda, but it highlights perhaps a luck of attention from the wife.

kudindisha wanaume tutadinsha tuu wen we see kitu kizuri...posta hapo mie nadindisha kila siku ya Mungu but do i sleep with all the women ambao wanafanya nidinde? no! its human nature to have those desires but u do not act on each and every single desire. so u cant say eti i shouldnt get married becoz nadidnsha at the very sight of a pretty lady or housegirl kabonoka...if that were the case no man would enter marriage

mnh kwa hio lack of attention kutoka kwa wife ni kumgegeda house gal??

as for kudindisha,siitii neno i wewe ulivyoconfess humu kuwa unadinsha mara kwa mara then usijiingize kny ndoa ndio watu kama nyie mnawapa shida wake zenu,i kudindisha sio jambo linalokuja automatic ..... jaribu kuwa na stress uone kama utadinda ...
 
mnh kwa hio lack of attention kutoka kwa wife ni kumgegeda house gal??

as for kudindisha,siitii neno i wewe ulivyoconfess humu kuwa unadinsha mara kwa mara then usijiingize kny ndoa ndio watu kama nyie mnawapa shida wake zenu,i kudindisha sio jambo linalokuja automatic ..... jaribu kuwa na stress uone kama utadinda ...

kwanza y shuld i search for stress? sii ujinga huo...enjoy life not stress abt it.

tatizo u fail to understand the purpose ya kuwa kwenye ndoa...watu tunataka attention na care just like women...nd thats y u nag abt wanaume kukaa bar mpaka late.

there are certain things expected of a wife ila sasa kama hafanyi basi chances r i will luk for an alternative....nd the cheapest nd most convinient one ni housegirl.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom