Wenye Waume/Wapenzi Muwe Makini..

Wenye Waume/Wapenzi Muwe Makini..

queeny

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
584
Reaction score
421
habari zenu...

jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....

ni hayo tu.

usiku mwema kwa wote.
 
nasikia akilegea massage inageukia kwenye vifanyio............duh akitoka huko uchafu wote wa ndani na nje ameacha saloon:yo::yo:hii dunia hatari sana
 
mie nafikiriaga wanaume wa kiafrica wana zero tolerance towards ladies afections...ukimuonyesha paja tu tayari kadinda,ndio maana wana stori za kijinga kama kutandikiwa kitanda na house gal ndilo linalompelekea kulala naye,hawa viumbe ni hopeless:tape2:
 
Tehe tehe mwanaume malay.a ni malay.a tu hayo mengine visingizio unakuta jitu lina mke mzuri na watoto nyumbani lakini kila anapokwenda lazima atafute k agghrrr inakera hii mijitu
 
Wanaume wa kiafrika akili zote zipo kwenye k
mie nafikiriaga wanaume wa kiafrica wana zero tolerance towards ladies afections...ukimuonyesha paja tu tayari kadinda,ndio maana wana stori za kijinga kama kutandikia kitanda na house gal ndilo linalompelekea kulala naye,hawa viumbe ni hopeless:tape2:
 
Sawa na nyie wa nyumbani mjifunze hayo sio mnalaumu tu wenzenu wa saloon, na wax ni nini katika saloon za wanawake.
 
ngoja nianze kujifunza mambo ya saloon niwe namnyoa mista upara,scrub,massage vyote namfanyia home loh abiria chunga furushi lako vibaka wengi k/koo
 
Mitego muiweke wenyewe halafu mlaumu wanaume. Wasipofanya kweli hamkawii kuwaita ile Wenje aliisema bungeni
 
Wanaume wa kiafrika akili zote zipo kwenye k

umesema vema. wenzetu wazungu massage ni kitu cha kawaida na hakiwastui, lakini huku bongo toka massage zimekuja wanaume wanachanganyikiwa.
 
umesema vema. wenzetu wazungu massage ni kitu cha kawaida na hakiwastui, lakini huku bongo toka massage zimekuja wanaume wanachanganyikiwa.

wale hawana attraction kama nyie waafrika kitu tetrasakrini aka rangi mbili lazima udinde..
 
Nyie wanawake wapuuzi kweli nyie uzuri wa kwenye kioo mnajiona basi kitandani zero ndiyo maana majogoo yetu yanashituka shituka hovyo..
 
Utajiju men wa kiafrika anaoa mpishi dobi mtunza bustani mfanya usafi kizalio cha watoto na wakumfurahisha kitandani
huko nyumbani tutafanya mangapi? tupike, kufua, usiku tukeshe, tuongezee na scrub, massage, facial, eeh mbona tutakoma?
 
habari zenu...

jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....

ni hayo tu.

usiku mwema kwa wote.

mambo ya raha jipe mwenyewe usisubiri kupewa..

#mamboyamahabati #ndoazasikuhizi
 
huko nyumbani tutafanya mangapi? tupike, kufua, usiku tukeshe, tuongezee na scrub, massage, facial, eeh mbona tutakoma?
lol.....unaweka mgomo?halafu eti wenyewe ni kuangalia mpira na sijui upuuzi gani....likija baadae linakoroma hata hulali vizuri,mwenzio rahaa tupu wkati ww upo physically tired lol...ila wajasiriamali unaweza ukafungua chuo cha hayo madude ya scrub naona kuna demand siku zinavyoongezeka lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom