Wenye Waume/Wapenzi Muwe Makini..

Wenye Waume/Wapenzi Muwe Makini..

mie nafikiriaga wanaume wa kiafrica wana zero tolerance towards ladies afections...ukimuonyesha paja tu tayari kadinda,ndio maana wana stori za kijinga kama kutandikiwa kitanda na house gal ndilo linalompelekea kulala naye,hawa viumbe ni hopeless:tape2:

Umenichefua! Hawa viumbe ni hopeless???!!!!! Hopeless ungewavulia chupi? au wewe unatumia dildo?
 
wanawake wa humu JF wanajifanya as if watakatifu sana... wako ktk relation-f(x)- ya one to one!!! ingekuwa hivyo wanawake wengine wasingekuwa wanawavulia chupi wapaka rangi kucha!!
 
Nyie wanawake wapuuzi kweli nyie uzuri wa kwenye kioo mnajiona basi kitandani zero ndiyo maana majogoo yetu yanashituka shituka hovyo..

Mmmmmh! Mie napita na wewe
image.jpg
 
wanawake wa humu JF wanajifanya as if watakatifu sana... wako ktk relation-f(x)- ya one to one!!! ingekuwa hivyo wanawake wengine wasingekuwa wanawavulia chupi wapaka rangi kucha!!

hapo ndio ujue kila binadamu anamapungufu yake, me nashangaa mnavyolalamika mara kutembea na house girl nk. Mbona wanawake nao wanatembea na mashamba boy pamoja na mabos wa waume zao na ukute nyumbani mumewe anamtimizia kila kitu.
Hakuna haja ya kulumbana kumbuka tabia haina dawa, kama mtu anatabia ya uzinifu ataendelea kuwa mzinifu kama sio mzinifu ataumtegeje hatoweza kutegeka.
 
habari zenu...

jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....

ni hayo tu.

usiku mwema kwa wote.

2meckia na tunashukulu kwa ushauli wako hawa2kamat tena.
 
Kuna mmama alisema mwanaume hata umtimizie yote,umpatie yote hadi upatwe kichomi bado atatoka tu ,na ni kweli kaBsa ,hawana soni kwenye nyuso zao


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
habari zenu...

jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....

ni hayo tu.

usiku mwema kwa wote.

Umenichefua! Hawa viumbe ni hopeless???!!!!! Hopeless ungewavulia chupi? au wewe unatumia dildo?

unakoxea kuxema ivo dada sio wote wenye taibia iyo ila nibaadh ya wanaume pleaser 2ombe ladhi ume2koxea dadaangu.
 
Mtoa mada ametoa mada nzuri, ikiwa ni angalizo kwa wanaume tunaokwenda kufanyiwa scrubbing na huduma stahili za saloon..
Ni vyema kwa wanaume tukazingatia ujumbe huo na kuachana na wachangiaji wengine wasio na busara kwa wanaume wa kiafrika.
 
waache wafurahie wadada wa saluni.... Wanaeake pia wanafurahia wakak wa saluni..shurti unatengenezwa kucha na kusuguliwa mihuu kwa mahaba..trna miguu unaiweka kwenye paja la mkaka katibu na dindira yake...

Kama mnadhani huko masaluni mnashawishika na mwanaume starehe ni wanawake mjue hata wanawake wanastare na wanaume

Napita tu
 
Hahahahahha
habari zenu...

jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....

ni hayo tu.

usiku mwema kwa wote.
 
habari zenu...

jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. muwe strong jamani....

ni hayo tu.

usiku mwema kwa wote.

Vp jamaa kakamatwa na hao warembo wa saloon nn?
 
mie nafikiriaga wanaume wa kiafrica wana zero tolerance towards ladies afections...ukimuonyesha paja tu tayari kadinda,ndio maana wana stori za kijinga kama kutandikiwa kitanda na house gal ndilo linalompelekea kulala naye,hawa viumbe ni hopeless:tape2:[/QUOTE
HOPELESS??We are only weak to our lovers sometimes not all times.
 
Nenda kalale bwana unahisia mbaya juu yetu, kama wanawake wenyewe wenye miZigo hamjui kuchung mizigo yenu ngoja wajanja wawasaidie kuchunga.
habari zenu...

Jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). Huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha, etc. Tena wanaume wakiingizwa huko chamber kufanyiwa sijui massage, facial, scrub, etc. Kuna mambo mengine yanayoendelea huko zaidi ya niliyoyataja.

Na nyie wanaume mkienda saluni muwe ngangari sio mkifanyiwa massage kidogo na kusuguliwa kidevu basi mnaishiwa kabisa. Muwe strong jamani....

Ni hayo tu.

Usiku mwema kwa wote.
 
umesema vema. wenzetu wazungu massage ni kitu cha kawaida na hakiwastui, lakini huku bongo toka massage zimekuja wanaume wanachanganyikiwa.

Umeona sasa ! Yani umekuwa muwazi kuwa wewe umezidiwa na mzungu-mzungu kaleta mambo alafu yanakusumbua.alafu mzungu sio mwenzako.mzungu kakuzidi akili
 
Mwanaume hatosheki kama kuku tu, ukimpa chakula hata kizuri ataenda kudonoa cha jalalani.

ningekuwa mbunge, tena wa kile chama ningesema "Naunga mkono hoja Mia kwa Mia"
 
Umeona sasa ! Yani umekuwa muwazi kuwa wewe umezidiwa na mzungu-mzungu kaleta mambo alafu yanakusumbua.alafu mzungu sio mwenzako.mzungu kakuzidi akili

sijaelewa unachomaanisha hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom