Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
- Thread starter
- #21
hapo unafunika bovu tu, ungejua watu wanavyojinafasi na mademu wao wa zamani, ungewaomba radha wanaJF woote kwa kuwafanya watoto wadogo leo
Ni vigumu kuamini kama inawezekana kuwa eti wakitapika hawarudishi matapishi tumboni. Itakuwaje ukamsahau mwalimu wako wa kwanza, aliyekutoa kwenye ulimwengu fulani hadi mwingine! Labda wasikutane mahali panapofaa.