Yusumchalo
Member
- Aug 5, 2018
- 19
- 8
Natafuta watu wanaofanya biashara ya mchele sehemu za miji tuweze kufanya biashara ya mchele kama tunaweza kukubaliana niwe nakununulia kutoka kwa wakulima na kuukoboa pamoja na kuugrade na kuutuma sehemu ulipo ambapo gharama huwa nafuu niko na uzoefu wa kufanya kazi hii na sehemu nilipo ndio mpunga unalimwa kwa uwingi.