Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Ndugu Buhari amefeli labda sababu ni UzeeKwanini una imani sana na huyu jamaa?
Nadhani Buhari amejitahidi sana kwa kiasi kikubwa kuituliza Nigeria, kumbuka mauaji makubwa ya kikabila na mzozo wa kila mara wa kidini huko Jos kipindi Goodluck Jonathan ni Rais bila kusahau Bokoharam kupata nguvu.
Ila toka Buhari amekamata madaraka amejitahidi sana, japo Kuna udhaifu mfano wavulana 300 waliotekwa ila angalau utawala wake unaonekana kuwajibika.
Matatizo ya kiusalama kuanzia uhalifu na kukosekana amani yapo juu mno kuliko kipindi chochote
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app