uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,079
Hiv unajua hawa wanajitoa muhanga wanachezewa tu yaani kwenye suala la ugaidi kinachofanyika ni mtu kukuuzia panya na paka kwa pamoja,siku wenye dini wakijitambua ndo ugaidi utaishaKDF India zaidi ya alshabaab 3,000.... Shida ya Vita vya kigaidi no ukiua mmoja, ndugu zake na wajomba zake ambao walikua hawajakua magaidi wanachukua bunduki ndo maana Hadi Leo Marekani umeshakua kumaliza Vita kule m.east....
Suluhisho la kudumu ni kuhakikisha wale wanao wa supply na risasi au hela ndo wanapotelea mbali...ili magaidi wawe hawana uwezo wa kufanya shbulizi la Aina yoyote hata wawe na hasira mamma gani
Sent using Jamii Forums mobile app