Wenye mna roho fuateni link muone vile Marekani waliwafanya nyama choma Al-Shabab jana huko Somalia.

Status
Not open for further replies.
KDF India zaidi ya alshabaab 3,000.... Shida ya Vita vya kigaidi no ukiua mmoja, ndugu zake na wajomba zake ambao walikua hawajakua magaidi wanachukua bunduki ndo maana Hadi Leo Marekani umeshakua kumaliza Vita kule m.east....

Suluhisho la kudumu ni kuhakikisha wale wanao wa supply na risasi au hela ndo wanapotelea mbali...ili magaidi wawe hawana uwezo wa kufanya shbulizi la Aina yoyote hata wawe na hasira mamma gani
Hiv unajua hawa wanajitoa muhanga wanachezewa tu yaani kwenye suala la ugaidi kinachofanyika ni mtu kukuuzia panya na paka kwa pamoja,siku wenye dini wakijitambua ndo ugaidi utaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah sababu waasi au magaid wanajificha kwenye makazi ya watu.
Hili ndio tatizo la ku crack gurrella war fare.. adui ana hit and run anajificha kwenye makazi ya watu.

Ni ngumu for military ku distinguish nani ni adui nani sie adui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndo kinachotokeaga mtaani wakifanyaga ugaidi kuna waislamu wasiohusika wanasotaga sero kwa sababu ya ujinga wa hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukawa upo sawa lakin hili ni tofauti na wao magaidi wanavyofanya wao wanawalenga watu moja kwa moja ugngeniambia wao wamevamia kambi ya jeshi kenya halafu wasio na hatia wakauwa kidogo unaeleweka lakin sio kwenda kuvamia watu wamelala zao hotelini na unajiita jasiri et upo vitani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Msingi wa Vita Ni kupiga eneo ambalo linaumiza roho ya adui Kweli Kweli

Hata Wewe ukipigana Na adui yako utahujumu eneo ambalo anaumia Sana ukihijumu bila ya kujali Ni sahihi Au laaa!

Majeshi ya Magharibi Mara ya kwanza kuvamia Libya hawakushambulia KAMBI Za Gadafi, wakishambulia Maeneo ya kiraia na kuhujumu Miundombinu

Taja nchi Hata Moja ambayo Marekani iliivamia ikaishia kushambulia Kambi Za Jeshi peke yake Na ofisi Za Kiserikali?
 
Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!

Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.
Lakini we jamaa una roho ya kishetani. Huwezi kufurahia matendo ya hawa magaidi kama una akili timamu.
 
Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!

Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.


We jamaa mbona kila kitu huwa unapinga? watanzania hatuna roho kama izi. Kuna mambo ambayo unaweza weka utani lakini katika hili jitahidi ku hide Utani.
Kitu ambacho hujui kuhusu Al-ni kuwa hata wakiamua kuingia TZ, watatumaliza tu, kwakuwa bado hatujawa na Techn, ya kupambana na Magaidi Kikamilifu. Fikiria kwanini kwanini US atumie Drone?? Tafadhari Jirekebishe Mkuu, wengine huwa hatufurahii kuona wenzetu wakipata matatizo.
 
Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!

Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.
We jamaa uliwaza nini lakini dah! hahahaa.
 
Al shabaab juu, kama moto wa kifuu.
Tafufa uzi mmoja unatambaa kinyama kuna video ya KDF anajieleza na kisha kupigwa risasi ya kisogo.

Nimeiona, Inatisha sana.
It is hard to support watu wa aina ile,Huwezi ua mtu kirahisi vile na kwa maumivu makali aina ile.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom