Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,187
- 79,396
Watu wa Nairobi wakae mkao wa kula hili shambulio litalipizwa!Magaidi huwa wanaweza kusahau mambo yote Ila sio kulipiza kisasi
Kisasi chake huwa Ni breaking news ya Dunia
'Mtu anaeua Na kubaka mama, Dada Na Ahli zako hawezi kuacha kufanya hivyo kwa kuandamana, kuchoma bendera Za Nchi yao au kwa kufanya Midahalo ya kulaani'
Hakikisha na wao wanafuta Machozi Kama mnavyofuta Nyie, watoe miili ya ndugu zao Kwenye vifusi Kama mnavyotoa nyie...'- Abubakar Shakau
Ni lugha Za kichochezi Na hazifai lakin Zina ujumbe muhimu Na wa wazi Kama ni mwenye kutafakari