ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,481
- 88,607
My Take
Bila Rais Samia hao Watoto wangeingia kwenye kundi la wajinga jumla wadangaji.
Bila Rais Samia hao Watoto wangeingia kwenye kundi la wajinga jumla wadangaji.
Wako jela na Wengine wamekimbiaWaliowapa mimba wamerejea wapi?
Au wangekuwa Wadanga njaa, Samia anastahili pongezi.Bila Rais Samia hao Watoto wangeingia kwenye kundi la wajinga jumla.
Wako jela na Wengine wamekimbia
My Take
Bila Rais Samia hao Watoto wangeingia kwenye kundi la wajinga jumla.
Kwani imeenda wapi?Bandari yetu imerudi ama bado inaendelea kuuzwa kwa waarabu?
Ndio umeandika nini sasaWanarudi shule Ajira hawana Uhakika
Vipi na ndoa za utotoni, rukhsa? Kama akipata mimba akaruhusiwa kurudi shule akiolewa anaweza kuendelea na shule pia, au?My Take
Bila Rais Samia hao Watoto wangeingia kwenye kundi la wajinga jumla wadangaji.
Kuoa mtoto wa shule ni marufukuVipi na ndoa za utotoni, rukhsa? Kama akipata mimba akaruhusiwa kurudi shule akiolewa anaweza kuendelea na shule pia, au?
Wanawake siku izi wanabebwa sanaWaliowapa mimba wamerejea wapi
🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo tunaruhusu nini na kukataza nini wakati vitendo vyote hivyo vinaathiri maendeleo ya mtoto wa kike. Mimba mzigo wanatwishwa wazazi kulea kijukuu wakati mtoto wao anarudi shule. Ndoa mzigo unakuwa kwa mme tu hata kama atapata uja uzito, au?Kuoa mtoto wa shule ni marufuku