Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Kwanini kila tangazo la kazi hata za serikali inakuwa na kipengele cha umri kuwa "kuwa asiwe zaidi ya miaka 35" wakati serikali inajua kuwa sisi amboao tuko katika rika hilo walitukosesha elimu na wengine tumekuja kujisomesha wenyewe kwa mategemeo kuwa siku moja nitapata kazi lakini hali sivyo;
Utashangaa taasisi za umma,viongozi wakitoa masharti haya ya kipumbavu na kibaguzi.lakini cha kushangaza wao wanahama kazi kila siku!.
Hii nchi vipi?,
hakuna haki kabisa,watu hatuna lili wala lile,basi tupeni hata mkopo kama basi!,jamani hii nchi gani ambayo oppotunities zipo kwa kundi fulani tu.....heri uwe panya road,tumechoka!,unaomba kazi mpaka unashikwa na uchizi!
Nina amini baba au ndugu yangu angekuwa na nafasi huko nisingeteseka hivi ktk ardhi hii.
Utashangaa taasisi za umma,viongozi wakitoa masharti haya ya kipumbavu na kibaguzi.lakini cha kushangaza wao wanahama kazi kila siku!.
Hii nchi vipi?,
hakuna haki kabisa,watu hatuna lili wala lile,basi tupeni hata mkopo kama basi!,jamani hii nchi gani ambayo oppotunities zipo kwa kundi fulani tu.....heri uwe panya road,tumechoka!,unaomba kazi mpaka unashikwa na uchizi!
Nina amini baba au ndugu yangu angekuwa na nafasi huko nisingeteseka hivi ktk ardhi hii.