Wenye magari binafsi watoe lift kwa watoto wa shule vituoni ili mbarikiwe

wanafunzi wa kike.. na chuchu zao saa sita.. uwape wape lifti.. shetani hachelewi kuingia kati ukajikuta segerea
 
Ukibeba wanafunzi ni sawa na tanker la mafuta limeanguka, akitokezea mmoja akitekenya tu moto utakaotokea hutosahau maisha yako na utasimulia kwa wafungwa wenzako muda huo uko Keko au Segerea

Wengine sio kama hatupendi kuwabeba, tatizo sheria.
 
Dunia ya leo ya pedophilia sishauli watoto kupenda lift za watu wasiowajua
 
Upo sahihi mkuu ila kwa dunia ya sasa hilo jambo ni hatari maana watu roho za ubinadamu haipo tena cha msingi kila mtu awe responsible kwa watoto wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…