Wenye magari binafsi watoe lift kwa watoto wa shule vituoni ili mbarikiwe

Umemaliza mjadala
tatizo sheria za hii nchi ni za kijinga sana,nashangaa wapuuzi flani wanatoka mapovu eti uhuru wa habari,wakati kuna sheria za kijinga jinga zinabana watu wasitoe misaada kwa jamii ya watu kama wanafunzi.

ni vizuri sana mkuu unafanya mbele ya muumba wako,ila ikatokea umepata nao ajali wakaumia au kupoteza maisha,utajutia wema wako.hakuna rangi utaacha kuona.

swali utaulizwa je gari yako imefaulu vigezo vya kubeba wanafunzi!!!!sasa jiulize kati ya alphard yako au noah na dcm la gomz lipi lina kiwango cha kubeba wanafunzi.
 
Kuna mtu ana gari moja miaka nane kumi hilo moja hajui kwann ajabarikiwa lingine

Kuna baraka mnazikosa wenyewe m.Huwa nikipita hata kama.Naenda mwenge nabeba watoto pale tankibovu unakuta nusu nzima wanashukià lugàlo

Nn wale waliobakia wanashuka mwenge wanakushukuru mpaka husikii hamuya chai huwa nabarikiwa sana

Kupitia baraka zao mungu amenipa gari lingine nakua wiki ijayo wataenjoy pià

Maombi yangu wale wenye magari binafsi kuna watoto mnakuta wako kituon ama wengine wanatembea kwenda kituoni simama uliza wanaenda wapi...

Hatakama uendi wanapoenda kuwafikisha tu kituoni hioo n baraka mpendwa

Ombi langu kwa mungu magari yetu tuyatumie kwa upendo na baraka tukiwa duniani mbinguni hakuna magari kule....Kule.Kwingine ndio moto mtupu

Saidia watoto wa shule wawahi shule imagine wako anafika satatu shule.Imeanza sambili unajisikiaje hatakama wakwàko wako bdng kumbuka ipo siku hutokuwepo gari azitakuwepo

Oonyesha upenda tuwabebe watoto wetu vituoni wawahi shule wewe baba wewe mama.Mkaka mdada unatengeneza baraka za watoto wako

Kupitia barakahizi mungu akufanikishe kila jambo unalomlilia na kuliitaji likawe baraka na màfanikio

Amen
Wabakaji watarahisishiwa kazi. Marufuku ndio salama
 
Sitoi lift kwa mtu nisiyemfahamu na pili siazimishi gari yangu nipo tayari nikupatie nauli ila mazoea na chombo changu cha usafiri sitaki kabisa.
 
Aysee nakumbuka nilimpa lift dogo mmoja anasoma Kibaha anakaa Mwenge kwa bibi yake.
Anaamka asubuhi kuwahi shule. Anarudi jioni hoi.. Hana mda hata kusoma dini.
Mtu kama yule dogo akiwa kiongozi ndio wanakuja kuwa wakina Vasco Dagama..
 
Wengi wenu ni mabazazi wapumbavu mkiwapa lift watoto mnaanza kuwatekenya na kuwachezea nyeti zao!

Wengine wanaenda mbali mpaka kuwanajisi na kuwafira watoto wa kiume!

Lifti hazifai kabisa!
 
Kuna mtu ana gari moja miaka nane kumi hilo moja hajui kwann ajabarikiwa lingine

Kuna baraka mnazikosa wenyewe m.Huwa nikipita hata kama.Naenda mwenge nabeba watoto pale tankibovu unakuta nusu nzima wanashukià lugàlo

Nn wale waliobakia wanashuka mwenge wanakushukuru mpaka husikii hamuya chai huwa nabarikiwa sana

Kupitia baraka zao mungu amenipa gari lingine nakua wiki ijayo wataenjoy pià

Maombi yangu wale wenye magari binafsi kuna watoto mnakuta wako kituon ama wengine wanatembea kwenda kituoni simama uliza wanaenda wapi...

Hatakama uendi wanapoenda kuwafikisha tu kituoni hioo n baraka mpendwa

Ombi langu kwa mungu magari yetu tuyatumie kwa upendo na baraka tukiwa duniani mbinguni hakuna magari kule....Kule.Kwingine ndio moto mtupu

Saidia watoto wa shule wawahi shule imagine wako anafika satatu shule.Imeanza sambili unajisikiaje hatakama wakwàko wako bdng kumbuka ipo siku hutokuwepo gari azitakuwepo
Kwa aina hii ya uandishi siwezi panda lift ya gari yako hata kama umenikuta mikumi peke yangu natembea kwa miguu. Hao unaowapa lift ni kwa vile hawajaona unachoandika wasingekubali.



Oonyesha upenda tuwabebe watoto wetu vituoni wawahi shule wewe baba wewe mama.Mkaka mdada unatengeneza baraka za watoto wako

Kupitia barakahizi mungu akufanikishe kila jambo unalomlilia na kuliitaji likawe baraka na màfanikio

Amen
 
Binafsi nilikataa kumpa rift binadamu yeyote yule nisiyemjua, awe mwanafunzi, askari etc. Na siku gari yangu inazingua, Natumia uber/mwendokasi/ daladala.
Dunia ya sasa ni kutumia akili kwanza na sio mihemko.
 
Ni jambo jema lakini omba yasikukute. Unaweza ukawa una nia njema ya kutoa msaada lakini yakakukuta makubwa mpaka ukajuta. Kuna jamaa ameapa kutompandisha mtoto wa shule katika maisha yake.
Kuna siku alitoa lift kwa watoto wa shule kwa bahati mbaya mmoja hakushuka na wenzie alikwenda kushukia kituo cha mbele yake na kumbe hakufika hata shuleni siku hiyo, alikatiza mitaa kwenda kusikojulikana, jamaa akabambikiwa kesi ya kumteka dogo akapigwa lockup kumbe maskini ya Mungu yeye alimshusha hata hakuwa na time naye.........mpaka anakuja kuthibitika hana kosa ashateseka sana, kumbe dogo ni toro tu la shule
 
Hakuna wazo bovu, ovu na la kijinga kama hili.

Mtoto kupewa lifti ni kuhatarisha usalama wake kwa asilimia zote. Hili ni la kupigwa marufuku kabisa tena.

Haifai kabisa kumpa mtoto wa mtu lifti, hata iwe wa jirani au mtu unaemfahamu.

Siyo lifti tu, haifai kumpa mtoto sadaka yoyote njiani. Iwe pesa, pipi au biskuti au chakula.

Pia haifai hata kumsemesha mtoto asiye wako njiani au mtoto wa jirani kujidai unambeba unamkumbatia unamtania. Ni ushenzi wa hali ya juu.

Tena kila mwenye mtoto nnamuasa achunge sana mambo hayo. Binafsi sikubali rru ympe lifti mtoto au eti uje kwangu ujifanye unamzungumzisha mtoto, umbebe sijui umpakate. Utaiona nyumba chungu.

Asalaam Alaikum, Alaikum salaam yamekwisha. Sijui unasoma wapi, unanini unanini. Nakupiga stop. Kwanza wajukuu zangu watakupa kavu "hiyo siyo kazi yako". Wapo under strict rules, hakuna cha mjomba wala shangazi, hawaruhusiwi kabisa. kama nilivyowalea wazazi wao.
Baadhi watakuona extremist lkn hayo uliyosema ni bora sana kwa usalama wa mtoto wako
 
Risks zinazoambatana na kuwapa lifti wanafunzi ni kubwa kuliko hizo baraka uanzosemea

Mkipata ajali kwa mfano wazazi huwa hawaelewi somo kuwa mtoto wao alikuwa anasaidiwa,, kuna mimba kwa watoto wa kike, Hwa wanatrack kwenye misaada kama hiyo

Kwa namna yeyote Ile aliyetakiwa kuwaonea Huruma na kupata baraka za Hao watoto, ni mzazi wake mwenyewe, wewe kama third party kutafuta baraka kwa mtoto wa mwenzio ni hoja isiyo na mashiko
 
*UFUMBUZI WA KUDUMU WA TATIZO LA USAFIRI KWA WANAFUNZI*

Ufumbuzi wa masuala ya usafiri wa watoto shuleni usio na kelele wala mikwaruzo ni huu hapa:

1. Kila shule ya umma ichorewe ramani ya nyumba zinazoizunguka (catchment). Mikusanyiko ya mashule ambayo mtoto anaweza kuenda kwa kutembea itaunganishwa na kufanywa kanda (zone ) (matumizi ya GIS hapa ndio pake :cool:). Ni shurti kila mtoto aliyeko kwenye kanda fulani asome shule ya umma iliyoko kanda hiyo au akakae bweni. Mtoto yoyote akiamua kusoma shule ya binafsi ruksa kusoma popote. Lakini asisumbue watu kuhusu usafiri.

2. Wanafunzi wote watakaopanda mabasi walipe nauli sawa na ya mtu mzima. (yunifomu alizovaa, viatu, madaftari, penseli, kalamu ya wino, viepe vya lanchi ya mchana ;) , vyote hivyo hulipa kamili siyo nusu bei. Kwa nini kwenye madaladala tu ndio iwe nusu nauli?)

3. Mwanafunzi ambaye atalazimika kupanda basi kwenda shule ya umma, na hana uwezo wa kujilipia nauli kamili, apewe ruzuku kupitia kwa Afisa Elimu wilaya, ambaye atathibitisha kuwepo kwa sababu za msingi kwa nini mwanafunzi huyo hakai bweni au hasomi shule ya karibu.

Easy-peasy-lemmon-squeazy

REJEA:
Starehe Gharama

https://www.asymptotejournal.com/blog/2019/08/06/translation-tuesday-comfort-is-expensive-by-mlenge-mgendi
 
Mzee wangu alikuwa anapakia wanafunzi kwenye pickup yake. Siku mwanafunzi akafanya ujinga akadondokea chini ya tairi, almanusura akanyagwe.

Wazazi wa huyo mtoto walikuja juu vibaya mno.

Unaweza ukawa na intention njema, ila likitokea lolote la kutokea, ndugu wa mtoto hawatakuwa upande wako. Intent yako haitaangaliwa.

Sikushauri.

By the way, sisi tulisomaje? Hivyo hivyo tu. Piga sana mguu, pigana sana na kondakta.
 
Ni jambo jema lakini omba yasikukute. Unaweza ukawa una nia njema ya kutoa msaada lakini yakakukuta makubwa mpaka ukajuta. Kuna jamaa ameapa kutompandisha mtoto wa shule katika maisha yake.
Kuna siku alitoa lift kwa watoto wa shule kwa bahati mbaya mmoja hakushuka na wenzie alikwenda kushukia kituo cha mbele yake na kumbe hakufika hata shuleni siku hiyo, alikatiza mitaa kwenda kusikojulikana, jamaa akabambikiwa kesi ya kumteka dogo akapigwa lockup kumbe maskini ya Mungu yeye alimshusha hata hakuwa na time naye.........mpaka anakuja kuthibitika hana kosa ashateseka sana, kumbe dogo ni toro tu la shule
Mfano mzuri sana. Wema wa aina hii unaweza kukuponza ukajuta maisha yako yote.
 
Haya mambo miaka ya 2000 yalikua yanawezekana lkn kwasasa kutokna na mmomonyoko wa maadili na kuzuka kwa tabia za ubakaji, ulawiti, pamoja na utekaji ni dhahiri unaitafuta jela
 
Back
Top Bottom