Mideko
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 36,335
- 195,701
Baba akuwa mkali kwakweli. sijui nilipokuwa Mdogo ilantangu nilipopata Akili sikumbuki Kama alishawahi kunyanyua mkono wake kunipiga, Ila mtiti kwa bi mkubwa ni balaa.
Ilikuwa inafika kipindi ukichezea bakora kwa mama Baba anagombelezea Apumzike kwa amani.
Ilikuwa inafika kipindi ukichezea bakora kwa mama Baba anagombelezea Apumzike kwa amani.