Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Arusha, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njombe na Rukwa.
Haya mablanket yenu huwa mnafua kila mara kweli? Kuwa kila anapoondoka mteja mnabadilisha mnaweka jingine? Au tunaendelea kulalia na sisi wengine tukija?
Mimi sioni dalili ya kuwa haya yanabadilishwa. Nikiangalia hivi sioni kabisa hizo dalili. Naona tu kama kuna kuyatumia haya mpaka ukamilifu wa dahali. Sijui dahari. Mtajua huko huko.
Watu tunapata mpaka mafua. Siyo fair na mnatucharge pesa kama yote kwenye Hotels zenu.
Haya mablanket yenu huwa mnafua kila mara kweli? Kuwa kila anapoondoka mteja mnabadilisha mnaweka jingine? Au tunaendelea kulalia na sisi wengine tukija?
Mimi sioni dalili ya kuwa haya yanabadilishwa. Nikiangalia hivi sioni kabisa hizo dalili. Naona tu kama kuna kuyatumia haya mpaka ukamilifu wa dahali. Sijui dahari. Mtajua huko huko.
Watu tunapata mpaka mafua. Siyo fair na mnatucharge pesa kama yote kwenye Hotels zenu.