Kuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu.
Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM. Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa
Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM. Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa