Wenye akili CHADEMA wapo kimya


Huo ushaidi wa Zitto kukisaliti chama uko wapi mbona hatuuoni au kuandaa mkakati wa 2013 ndio usaliti? Acha kukaririshwa mambo bila kufikiri. Leta ushahidi kuwa Zitto ni msaliti na sisi tutakuamini. Unatumia waraka ulioandaliwa kumchafua ndio uasema ushahidi? Mbona mkanda wa video ya ugaidi ya Lwakatare mnasema ni wa kutengeneza? kwa nini waraka wa kumchafua Zitto huamini kuwa ni wa kutengeneza pia?
 
Kwa hyo akina mnyika, lissu, msigwa na wengne wamepoteza credibility kwako kisa ya kuwa mbele ishu ya zit to, hicho sasa ndo kinawafanya wawe roll model ya watu weng nchini...kuna haja gan ya kunyamaza wakat mambo hazieleweki?
 

Kama kupanga kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama ni njama za kukiuua chama basi hicho chama hakifai hatakuwepo. Kwani ZZK angepata wapi kura za kushinda hata kuwa mwenyekiti? Na kama mtu ambaye hafai anapata kura nyingi mpaka kushinda kosa lake lipo wapi? kosa si lipo kwa waliomchagua? ZZK, Kitila na Mwigamba hawakufanya kosa kiasi cha kufukuzwa uanachama, ni ubabe tu wa akina Slaa na hofu ya kuondoka kwenye nafasi zao na kukosa hayo mamilioni wanayopata makao makuu wakati wenzao wilayani na kwingineko wanajitolea kufanya kazi za chama.
 
Kwa hyo akina mnyika, lissu, msigwa na wengne wamepoteza credibility kwako kisa ya kuwa mbele ishu ya zit to, hicho sasa ndo kinawafanya wawe roll model ya watu weng nchini...kuna haja gan ya kunyamaza wakat mambo hazieleweki?

Yes, huwezi ukawa mbele kwenye issue ambazo hazina mashiko na bado nikakuona unafaa. Kupata mkakati wa kugombea tena kwenye chama cha demokrasia haiwezekani hata siku moja kukawa ni kufanya UHAINI. Hivi NENO UHAINI limepata maana MPYA hivi karibuni ambayo mimi siifahamu?
 

Sawasawa kabisa, hata uliyoyaandika hapo juu nayo ni kwa mujibu wa mtazamo wako. Kumbuka kuwa akina ZZK, Kitila na Mwigamba walivuliwa nafasi zao za uongozi ndani ya chama KABLA hata ya kupewa nafasi za kusikilizwa. Na kwa maana hiyo na MBOWE inatakiwa afukuzwe kwenye nafasi ya uongozi bila hata ya kusikilizwa baada ya KASHIFA nyingi dhidi yake KUIBULIWA. Nionavyo mimi kashfa ya Mbowe ni kubwa kuliko hata ya akina ZZK ya kupanga mkakati wa kugombea uongozi -kwanza hii haifai hata kuitwa kashfa labda kwenye chama kama CHADEMA chini ya utawala wa Mbowe.
 
Naunga mkono post yako hizo ndizo busara za wenye akili na kukaa kimya pia upande mwingine huashiria mambo mazito yanataka tafakuri
 
Ma ccm mmekatazwa na nani kuendelea na ccm lenu mmekalia CHADEMA kutwa kucha!Nasema tena nasisitiza walichelewa kuwang'oa hao wasaliti hata kama mtawalilia haisaidii

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
kukaa kwake kimya inaonesha busara ya hali ya juu kwa kiongozi na alijua kufanya hivyo ni kukiua chama, ndo maana akaamua atumie njia mbadala ya kumuondoa mhusika bila kumchafua kupitia kapu la kura. huelewi nini sasa hapo? just a common sense.
 
Huyu ZZ ni papai lisilo na mbegu,kwanini? akitaka asome asipotaka aache pia huyu msomi asiyejitambua

1.Ajikwezaye hushushwa na ajishushaye ukwezwa (Biblia)
2.Wanasema ukishindwa ndoa kama una akiri timamu madhaifu ya ndoa kamwe yabaki ni siri yenu ..si busara wala hekima popote pale ukaanze kumsema kasoro za uliyeachana naye,ni utahira tena kwa msomi huyu ni papai(yawezekana ndo maana hajaoa ndo chanzo cha kijana huyu kukosa busara ktk jamii)
3.Siasa si uadui kamwe kama anavyofanya (ajifunze kijana huyu)
 
Leo anayasema haya kwasababu katoka CDM, kwahiyo anamaanisha huko aendako siku nako akiondoka atahara tena kama alivyoondoka CDM?

Na kwa mfano leo CDM wakasema tumeamua kusamehe ya Zitto , je, atarudi ama hatarudi? si ndo anachokipigania? na akifika huko atasema niliamua kumwaga mboga? wenye busara kamwe huwa hawamwagi mboga ndo maana tunamlaumu Pinda alipomwaga mboga kusema "wapigwe". Learn ZZK.
 

Mungu akusamehe bure, sidhani kama unajua unachokiandika. Aliyekwambia kuwa mwanachama wa chama fulani ni NDOA nani? Kwamba ulitaka ZZK akae kimya ili madudu ya akina Mbowe yaendelee tu kwa faida yenu? Anayefanya uadui ni nani? Yule anaye panga mkakati wa kuogombea nafasi kihalali ili kumuondoa anayefanya madudu ama ni yule anayemfukuza huyu anayepanga mkakati halali?
 
Swala la chadema kuyumba sikweli ni propaganda zako sasa kama kudhibiti wahaini wasaliti tena kwa ushahidi wa waziwazi ni udictetor basi huyo Zitto na genge lake la wahuni waje kwenu magamba ambo nyinyi si madictetor wayafanye hayo uone kama watapona.
 
Wewe ni nani humo au kati ya waliotajwa unayeogopa kumalizwa kwa uhalisia unalinda maslahi yako?
 
chadema, haifiiii hata siku moja

Wala hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka ife, ila kwa madudu yanayoendelea ndani ya chama na ushabiki wa kiji-nga wa wanachama wake mbumbumbu na viongozi wenye shule ndogo basi hapo chama kitakufa tu.
 

Uadui wameuanza ma bwana zako mbowe tundu na padri
 

MNYIKA anasikitisha zaidi-eti leo katoa tamkoa kuhusu uongo wa MUHONGO-waangalizi wa mambo wakasema dogo ukabila umebobea pale, MENGI kaanza kumtumia-generally Wabunge wetu shughuli inayowalipa zaidi ni KUTUMIKA kuliko posho
 

Kwa akili zako wewe unaona hicho kilichofanywa na akina Zito ni uhaini? seriously? Eeee Mungu katuumba tofauti aiseeee! Na hayo ya ufujaji wa mali za chama ya Slaa na Mbowe tuyaite nini? Hivi inamaana hata hufahamu maana ya neno KUYUMBA mpaka useme CHADEMA haijayumba? Mimi niendeshe propaganda dhidi ya Chadema nifaidi nini? Ifike wakati nyie wanachama ama wapenzi wa Chadema wenye shingo ngumu muanze kupima nguvu ya hoja kabla ya kufyatuka na kutetea uovu mkidhani kila anayeandika dhidi ya chama chenu ni CCM. Kwa taarifa yako Niichukiavyo CCM ndivyo niichukiavyo Chadema. Wote wale wale tu.
 
Katibu mkuu wako ameoan lini? Na umri ule bado anazini tu tena amenyang'anya mke wa mtu. Mapenzi gani ya kipumbavu uliyonaye kwa slaa. Mkiguswa kwa slaa tu mnalalamika, watu wakihoji elimu yake ya udaktari wa kikatoliki usiotambulika kimataifa mnamtetea. Hivi wewe kwenye kwa akili zako unaweza ukafananisha ufahamu wa zito na hao mafisadi wenu wakina slaa na mbowe.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…