Wenye akili CHADEMA wapo kimya

Wenye akili CHADEMA wapo kimya

Natania

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
262
Reaction score
217
Ni Lazima niseme ukweli kuwa CHADEMA imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi.

Haya Madudu ya akina Mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi usioeleweka yananifanya mimi niliyekuwa naichukia CCM nianze kutafakari upya kwani kwa sasa SIONI TOFAUTI YA CCM na CHADEMA (na huenda CHADEMA wanaweza kuwa hatari zaidi).

Nimefuatilia kiasi kauli za wabunge wa CHADEMA [ambao ndiyo wanafahamika sana] wakiongea kuhusu swala la Kitila, ZZK, Mwigamba -kwa kweli nimesikitika sana. Nimesikitika kwa kuwa mwanzoni niliwaona wabunge hawa kuwa vichwa ila kwa sasa nawaona viumbe hatari sana.

Ukiachilia mbali mbunge Lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, Mnyika, Mch. Msigwa na Lissu kwa kweli wameharibu CV zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta Chadema. Sikuamini mtu kama Mnyika, Msigwa na Lissu wanaweza ku-support udikteta wa akina Slaa na Mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.

Naomba nichukue fursa hii kuwapongeza wabunge na wanachama mahsusi wa Chadema ambao at least wameonyesha akili kwa kukaa kimya.

Ndiyo, pamoja na kwamba kukaa kimya wakati madudu yanaendelea ni unafiki, lakini ni heri ukae kimya uonekane una-akili kuliko kuongea ku-support madudu. Pongezi hizi ziende kwa Mbunge Joshua Nassari, Mbunge Halima Mdee, Wakili Mabere Marando, Prof. Safari na wengine wote ambao wamesahaulika wakati wa kutoa maoni haya.

UPDATES

Wakili Mabare Marando na Prof Safari nimewatoa rasmi kwenye list ya kupongezwa baada ya kusoma gazeti la Mtanzania wakisema wanaunga mkono maamuzi ya kamati kuu ya Chadema kwa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya wale wanaoitwa wahaini. Vituko havitaisha Tanzania!

 
Lissu na Mnyika wamenihuzunisha sana. Hongera zake Halima Mdee, nitampa tena kura yangu akija tena hapa Kawe. Kwa muda mrefu mchanganyiko wa Lissu, Zitto na Mnyika umekuwa na matumaini makubwa sana kwetu wapenda mageuzi. Lkn wote wanepotoka na kupotoshana. Ni pigo kwa demokrasia yetu kwa kweli.
 
Nilishaandika hapa kwamba CHADEMA kiufupi ni CCM-B, na watu kama kina Mnyika ingawa wanaweza kuwa smart, wanaweza kuponzwa na mwenendo wa chama kizima.

Watu wakaona huyo Kiranga tu.

Na kwa kweli haya si yote, kuna mengine mabaya zaidi yamejificha.

Wanaosemana kwa mabaya hawaanzi kwa kuanika mabaya yote kwa kawaida, yale mabaya zaidi hubakishwa vita vikikomaa.

Nahofia kwamba yale machafu kabisa bado hatujayajua.
 
Nilishaandika hapa kwamba CHADEMA kiufupi ni CCM-B, na watu kama kina Mnyika ingawa wanaweza kuwa smart, wanaweza kuponzwa na mwenendo wa chama kizima.

Watu wakaona huyo Kiranga tu.

Na kwa kweli haya si yote, kuna mengine mabaya zaidi yamejificha.

Wanaosemana kwa mabaya hawaanzi kwa kuanika mabaya yote kwa kawaida, yale mabaya zaidi hubakishwa vita vikikomaa.

Nahofia kwamba yale machafu kabisa bado hatujayajua.

Weeeh, Mtatiro atakuchapa kwa kumnyang'anya jina lao. Dunia nzima inaijua CCM-B, waache.
 
We kweli Unatania
Na wewe je/

SR12-Faking-and-Pretending.jpg
 
Mbowe ameshaset maisha na kujenga contacts za maana dunia nzima..CDM ife isife Mmachame yeye pesa tu... No wonder hypocrisy yake ipo kwenye pesa when it comes to money there is neither principles nor emotions to Mbowe Business is bisoness and politics (na CDM yenyewe) is an extension of business...Watz wakizinduka chadema itarudi kua NGO ya kikanda
 
Nadhani mtoa hoja tungekupongeza sana kama ungekuja na njia mbadala ya kushugulikia chanzo cha mgogoro ndani ya CHADEMA; ambao kila mmoja anatambua kuwa ni "usaliti" wa ndg Zitto ndani ya chama.

Wewe kama mtu mwenye akili, weledi na busara ni vizuri kushauri bila upendeleo ili kukinusuru chama; ila ni wazi kabisa kwamba dawa pekee ya usaliti ni kutimua.

Huwezi kuvumilia pale unapo hujumiwa. Ushahidi wa kutosha uko wazi jinsi Zitto alivyo tumiwa na wabaya wa CHADEMA ili aue chama.

Kama naye alikuwa na tuhuma dhidi ya Mbowe, mbona kakaa kimya siku zote aje kufunguka leo baada ya kuchinjiwa baharini? Si angeongea mapema akiwa bado na heshima zake ndani ya chama ili watu wamwelewe na kuchangia hoja?

Kumbukeni Zitto analeta janja ya kuku kuwa na nguvu nyingi z kutaka kuruka na kukimbia mara tu akishakatwa kichwa.
 
Hii yote ni mitazamo tu. Kama ni kweli kuna usaliti amekuwa akifanya kwa chama chake awajibike,mengine yote ni mbwembwe tu. Kwasababu kimsingi hakuna jamii au jumuia inayokubali wasaliti. Cha msingi ni kuwa zzk apewe haki ya kusikilizwa na kujitetea na hatua zingine zifuate.
 
Nadhani mtoa hoja tungekupongeza sana kama ungekuja na njia mbadala ya kushugulikia chanzo cha mgogoro ndani ya CHADEMA; ambao kila mmoja anatambua kuwa ni "usaliti" wa ndg Zitto ndani ya chama.

Wewe kama mtu mwenye akili, weledi na busara ni vizuri kushauri bila upendeleo ili kukinusuru chama; ila ni wazi kabisa kwamba dawa pekee ya usaliti ni kutimua.

Huwezi kuvumilia pale unapo hujumiwa. Ushahidi wa kutosha uko wazi jinsi Zitto alivyo tumiwa na wabaya wa CHADEMA ili aue chama.

Kama naye alikuwa na tuhuma dhidi ya Mbowe, mbona kakaa kimya siku zote aje kufunguka leo baada ya kuchinjiwa baharini? Si angeongea mapema akiwa bado na heshima zake ndani ya chama ili watu wamwelewe na kuchangia hoja?

Kumbukeni Zitto analeta janja ya kuku kuwa na nguvu nyingi z kutaka kuruka na kukimbia mara tu akishakatwa kichwa.

msaliti ni mbowe,mmedanganywa kura ziliibiwa kumbe watu wamepiga pesa za mafisadi kama hii haijawavunja moyo kwenye siasa nitawaita majuha
 
CHADEMA is a time bomb waiting to explode!.

Chama kilisimama kwenye misingi ya ulaghai na kuwaaminisha wananchi kuwa wao ni wapiga vita ufisadi na wakombozi wa wananchi but little known kuwa wao ndiyo walikuwa ni catalyst wa ufisadi kwa sababu chama kilikuwa kinaendeshwa na pesa za 'mafisadi'.

Nilipomuona Mabere Marando na yeye ameingia kwenye majukwaa ya siasa ya CHADEMA akipiga vita ufisadi wakati yeye ni wakili wa mafisadi, basi nikafamu kuwa timer ya bomb la ulaghai wa CHADEMA iko on.

Huu ni mwanzo tu wa mlipuko wa bomu na wajiandae kisaikologia kwa yanayokuja huko mbeleni.
 
mkuu yaonekana ulichukia ccm tu bilakujua kwanini uliichukia.kwa mtu aliyejipa mda wa kutafakari na kuibuka na sababu zanmsingi kwanini aichukie ccm,hawezi kuipenda eti kwasababu cdm imefanana na ccm.Mimi naichukia ccm kwa sababu za msingi,hii haijalishi kama kuna mbadala wake au la.naichukia ccm kuliko ninavyoipenda cdm.kwahiyo hata ikitokea cdm ikafa(jambo ambalo siliamini hatahivyo, maana sijaona lolote walilofanya linaloashiria kufa), na hata ikitokea Tanzania nzima hakuna chama kingine zaidi ya ccm, bado nitaichukia tu,maana sababu za kuichukia haziondolewi na kutokuwepo mbadala.
 
Nadhani mtoa hoja tungekupongeza sana kama ungekuja na njia mbadala ya kushugulikia chanzo cha mgogoro ndani ya CHADEMA; ambao kila mmoja anatambua kuwa ni "usaliti" wa ndg Zitto ndani ya chama.

usaliti wa zitto kwa chadema, au chadema kwa watanzania??

hauoni aibu
 
Lissu na Mnyika wamenihuzunisha sana. Hongera zake Halima Mdee, nitampa tena kura yangu akija tena hapa Kawe. Kwa muda mrefu mchanganyiko wa Lissu, Zitto na Mnyika umekuwa na matumaini makubwa sana kwetu wapenda mageuzi. Lkn wote wanepotoka na kupotoshana. Ni pigo kwa demokrasia yetu kwa kweli.

Ni Lazima niseme ukweli kuwa CHADEMA imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi. Haya Madudu ya akina Mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi usioeleweka yananifanya mimi niliyekuwa naichukia CCM nianze kutafakari upya kwani kwa sasa SIONI TOFAUTI YA CCM na CHADEMA (na huenda CHADEMA wanaweza kuwa hatari zaidi). Nimefuatilia kiasi kauli za wabunge wa CHADEMA [ambao ndiyo wanafahamika sana] wakiongea kuhusu swala la Kitila, ZZK, Mwigamba -kwa kweli nimesikitika sana. Nimesikitika kwa kuwa mwanzoni niliwaona wabunge hawa kuwa vichwa ila kwa sasa nawaona viumbe hatari sana. Ukiachilia mbali mbunge Lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, Mnyika, Mch. Msigwa na Lissu kwa kweli wameharibu CV zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta Chadema. Sikuamini mtu kama Mnyika, Msigwa na Lissu wanaweza kussurpot udikteta wa akina Slaa na Mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.

Naomba nichukue fursa hii kuwapongeza wabunge na wanachama mahsusi wa Chadema ambao at least wameonyesha akili kwa kukaa kimya. Ndiyo, pamoja na kwamba kukaa kimya wakati madudu yanaendelea ni unafiki, lakini ni heri ukae kimya uonekane una-akili kuliko kuongea ku-support madudu. Pongezi hizi ziende kwa Mbunge Joshua Nasari, Mbunge Halima Mdee, Wakili Mabere Marando, Prof. Safari na wengine wote ambao wamesahaulika wakati wa kutoa maoni haya.



Nilishaandika hapa kwamba CHADEMA kiufupi ni CCM-B, na watu kama kina Mnyika ingawa wanaweza kuwa smart, wanaweza kuponzwa na mwenendo wa chama kizima.

Watu wakaona huyo Kiranga tu.

Na kwa kweli haya si yote, kuna mengine mabaya zaidi yamejificha.

Wanaosemana kwa mabaya hawaanzi kwa kuanika mabaya yote kwa kawaida, yale mabaya zaidi hubakishwa vita vikikomaa.

Nahofia kwamba yale machafu kabisa bado hatujayajua.

Mbowe ameshaset maisha na kujenga contacts za maana dunia nzima..CDM ife isife Mmachame yeye pesa tu... No wonder hypocrisy yake ipo kwenye pesa when it comes to money there is neither principles nor emotions to Mbowe Business is bisoness and politics (na CDM yenyewe) is an extension of business...Watz wakizinduka chadema itarudi kua NGO ya kikanda

msaliti ni mbowe,mmedanganywa kura ziliibiwa kumbe watu wamepiga pesa za mafisadi kama hii haijawavunja moyo kwenye siasa nitawaita majuha

CHADEMA is a time bomb waiting to explode!.

Chama kilisimama kwenye misingi ya ulaghai na kuwaaminisha wananchi kuwa wao ni wapiga vita ufisadi na wakombozi wa wananchi but little known kuwa wao ndiyo walikuwa ni catalyst wa ufisadi kwa sababu chama kilikuwa kinaendeshwa na pesa za 'mafisadi'.

Nilipomuona Mabere Marando na yeye ameingia kwenye majukwaa ya siasa ya CHADEMA akipiga vita ufisadi wakati yeye ni wakili wa mafisadi, basi nikafamu kuwa timer ya bomb la ulaghai wa CHADEMA iko on.

Huu ni mwanzo tu wa mlipuko wa bomu na wajiandae kisaikologia kwa yanayokuja huko mbeleni.

Wachache sana wenye uwezo wa kuelewa mambo kwa kina wanafahamu kinachoendelea ndani ya cdm. Vita vikali kati ya demokrasia yakweli na uhafidhina.

Kukaa kwangu kimya, kunatokana na kuamini kuwa viongozi wa sasa wa cdm hawana tofauti yoyote na viongozi wa ccm.

Ni ufisadi mtupu, uhuni na uporaji wa wake za watu, kupiga vita mawazo mbadala yenye tija na mwelekeo wa kuleta demokrasia ndani ya chama huku wakiendelea kudanganya watanzania masikini kuwa ndio chama cha ukombozi.

Ndugu mtanzania amini toka moyoni kuwa hakuna chama chochote cha kisiasa mpaka wakati huu, hapa Tanzania kilicho tayari kukukomboa. Pambana kwa kadri uwezavyo lakini tumaini lako lisiwe kwenye chama chochote.

Vyama vyote ni njaa tu. Wote wachumia tumbo. Na ukigusa kwenye masilahi yao lazima wakumalize.
 
Hahaha, basi CCM-C

Tena inafaa, maana C stands for CHADEMA.

Ni ujinga wa kufikiri uko hivi kama kweli ni mwana mageuzi huwezi kuwaza namna hii, haiwezekani kupata mabadiliko kamili bila kufuata hatua kwa hatua kama ulikuwa unasema uko katika harakati za kutafuta mabadiliko kisiasa na kimfumo lazima utambue jitihada ndogo za chama kikuu cha upinzani hasa Chadema, ila kama ulikuwa unatafuta mfano wa malaika Ndani ya chama wewe bado hujatambua unataka nini katika harakati hizi na uvivu zaidi wa kufikiri kama utasema iwapo hujaona malaika Ndani ya upinzani, eti ubaki ccm! ! Tujitambue
 
Nilishaandika hapa kwamba CHADEMA kiufupi ni CCM-B, na watu kama kina Mnyika ingawa wanaweza kuwa smart, wanaweza kuponzwa na mwenendo wa chama kizima.

Watu wakaona huyo Kiranga tu.

Na kwa kweli haya si yote, kuna mengine mabaya zaidi yamejificha.

Wanaosemana kwa mabaya hawaanzi kwa kuanika mabaya yote kwa kawaida, yale mabaya zaidi hubakishwa vita vikikomaa.

Nahofia kwamba yale machafu kabisa bado hatujayajua.

Nakubaliana na wewe kiranga we have to questions?
 
Back
Top Bottom