MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
MIMBA ZA WASICHANA WADOGO,
HUWA NYINGI ZINAKUWA HAZIJAPANGWA,
Wengine wamebakwa wakapata mimba,
Wengine wamedanganywa kwa upeo wao wakapata mimba
We Wengine uelewa mdogo juu ya mimba wakapata mimba[/SIZE][/FONT]
Wengine mazingira magumu yanayo wapata katika umri mdogo wanajikuta wamejiingiza katika viendo vya ngono na kuambulia mimba.
Hii hai-justify kuwa hawa wasichana wanaopata mimba ni malaya
Mimba ni kitendo cha dakika moja si kwamba mimba unatakiwa uwe malaya sana
Je wale wasio zaa huwa wanafanya nini wakipata mimba?
Dhana iliyopo kuwa msichana anaye zaa ni malaya......miye kichwa umwa kabsa
Je hapa wana JF nani malaya yule anaye zaa au yule anaye toa mimba ?
HUWA NYINGI ZINAKUWA HAZIJAPANGWA,
Wengine wamebakwa wakapata mimba,
Wengine wamedanganywa kwa upeo wao wakapata mimba
We Wengine uelewa mdogo juu ya mimba wakapata mimba[/SIZE][/FONT]
Wengine mazingira magumu yanayo wapata katika umri mdogo wanajikuta wamejiingiza katika viendo vya ngono na kuambulia mimba.
Hii hai-justify kuwa hawa wasichana wanaopata mimba ni malaya
Mimba ni kitendo cha dakika moja si kwamba mimba unatakiwa uwe malaya sana
Je wale wasio zaa huwa wanafanya nini wakipata mimba?
Dhana iliyopo kuwa msichana anaye zaa ni malaya......miye kichwa umwa kabsa
Je hapa wana JF nani malaya yule anaye zaa au yule anaye toa mimba ?