jifarijini mpate usingiziACT watapata wabunge wengi zaidi uchaguzi ujao endapo kama watamshawishi Lisu kujiunga na chama chao.
jifarijini mpate usingiziACT watapata wabunge wengi zaidi uchaguzi ujao endapo kama watamshawishi Lisu kujiunga na chama chao.
akili matope ninakwambia kila leo...akili matopeHata Zitto Kabwe alijulikana baada ya Kuwa mbunge
Na Dorothy atajulikana tu ngoja kwanza amlete Tundu Antipas Lisu 😂
usiamini mwanasiasa yeyote Duniani,amini nakwambia.jifarijini mpate usingizi
makomandoo wa mihemkoSio makondoo au?
Dorothy mlete Tundu Lisu 😂😂🔥akili matope ninakwambia kila leo...akili matope
Utajua Hujui dadeki 😂😂😂🔥🔥jifarijini mpate usingizi
Mbowe ndiyo CHADEMA kamanda, usijisahaulishe.Kweli CHADEMA baba lao. Kila chama kimatafuta kiki kwa CHADEMA. Zitto mwenyewe aliondoka CHADEMA ila ameicha imara mpaka Leo. Mchukueni hata Mbowe mkitaka.
Labda ACT ya nepalKama alivyosema Ismael Jussa kwamba mabadiliko kamili nchini Tanzania yataanzia Zanzibar kupitia ACT wazalendo " mpya"
Sasa nimeanza kumuelewa nawaona Watu wanagombea Kadi
Kustaafu kwa Zitto Kabwe kumewapa mtaji mkubwa ACT wazalendo
Ramadan Mubarak
Hao sio habari kubwa,habari kubwa ni Kakurwa.Kama alivyosema Ismael Jussa kwamba mabadiliko kamili nchini Tanzania yataanzia Zanzibar kupitia ACT wazalendo " mpya"
Sasa nimeanza kumuelewa nawaona Watu wanagombea Kadi
Kustaafu kwa Zitto Kabwe kumewapa mtaji mkubwa ACT wazalendo
Ramadan Mubarak 😀
Wewe Usiwe mjinga Tundu Antipas Lisu hajaanzia Siasa Chadema kwahiyo hakuna maajabu yeye kwenda ACT WazalendoHaya majuha hayachoki........... eti Lisu anahamia ACT...ACT ni ya zanzibar, bara hakuna kitu na hakutakuwa na kitu. kama Zito alishindwa kuleta kitu bara, sahau mwanamke dada Semu johnthebaptist
Wahaya siyo Wajinga kama unavyofikiria 😂😂Hao sio habari kubwa,habari kubwa ni Kakurwa.
Lissu alishandwa kupata wabunge toka singida zaidi yake ,itaeezekana vipi aweze kupta wabunge maeneo mengi ya nchi?ACT watapata wabunge wengi zaidi uchaguzi ujao endapo kama watamshawishi Lisu kujiunga na chama chao.
Unataka kusema nayeye Zito anaweza kuja kama Prof.Lipumba aliendoka akageuza .Hata Nyerere alijifanya kujiweka kando ccm ila akawa anamnanga Mwinyi kiaina. Zito bado anazodoc za usajili za ACT kazificha Mwandiga. Subiri siku kutokee mpambano utaona rangi yake halisi
Kwa sasa Tanzania ni Kijiji atapataLissu alishandwa kupata wabunge toka singida zaidi yake ,itaeezekana vipi aweze kupta wabunge maeneo mengi ya nchi?
kujenga nchi kujenga mihemko 🐒haaaaaaaaa haaaaaaaaa! Sawa mkuu wangu , karibu CHADEMA tuijenge nchi. Kadi yako ninayo.
Ndiyo maana yakeUnataka kusema nayeye Zito anaweza kuja kama Prof.Lipumba aliendoka akageuza .
Wewe ni mfalme njozi?Lisu alishasaini kitambo
😂😂😂 Kunradhi BwasheeWewe ni mfalme njozi?
Mbona mnamvunjia heshima Lissu na kumfanya kuwa naye ni mwanasiasa malaya malaya?
Hebu omba radhi mbatizaji!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app