Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,556
- 7,385
Sahihi mkuu asante kwa kunikumbushaWahaya tunayaita Amatomasi
Mufindi Iringa pia tunaita matunda damuHaya matunda ni mengi sana huko maeneo ya uwemba njombe na hua tunaita matunda damu.
Ina maana haya matunda kuna sehem wanayaweka kwenye mboga?au kuyachoma na kuyatumia kama mboga?nilikua sijui kabisa.
Hata mimi suyajui๐
Walisema Maxam inatoka Urusi
Masuku, hatari sana๐๐View attachment 2938540
cocastic unayakumbuka haya matunda yanaitwaje ?๐๐๐
Leejay49 yapo huko ?
๐๐๐๐Masuku, hatari sana๐๐
Nimeyala mda sana hadi nimeyamisi aiseeโบ๏ธโบ๏ธ๐๐๐๐
Nilikuwa nayapenda mno
Lakini si bado yapo ?Nimeyala mda sana hadi nimeyamisi aiseeโบ๏ธโบ๏ธ
Nadhani mashambani huko yatakuwepo, hapa mjini siyaoni hata sokoni hamna... sijui sio msimu wakeLakini si bado yapo ?
Uchagani yanaitwa mabiringanya.