Maseke ya Meme
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 695
- 914
They just photoshop dada wa watu na nyie mnakuwa fooled kirahisi tuu,ni rahisi sana kutengeneza picha kama hizo siku hizi!
wewe acha bwana hizo picha ni za ukweli
tena hapo gotini ukiangalia vizuri ni DONDA NDUGU haliponi haraka!
aaah, nimeharibika kivipi mkuu????unajua home-boy hata wewe UMEHARIBIKA?
aaah, nimeharibika kivipi mkuu????
Nipo baba naona uminisusa siku hizi ushapata chombo kipya!!!???Habari za siku mama umeadimika sana.
Umeona madhara ya kujiremba sana?
nampa pole zake maana hajadumu ameshachakaaa....duu kweli ujana maji ya moto kwinsheeneeee
Nipo baba naona uminisusa siku hizi ushapata chombo kipya!!!???
Unajua watoto dizaini ile mara nyingi maisha ya ughaibuni especially US huwa hawayawezi kabisa. Walishazoea kukatiwa kidogodogo kule bongo basi wakija huku we, hakati mtu huku. Jamaa keshapiga box lake la nguvu UPS, hakitoki kitu hapo.Hiki chombo ni stress tuu za maisha na ushamba,inabidi kiondoke hapo Dar kije kitulie kama midwest states kiende shule na kipigwe na baridi kidogo huku kikioga maji ya moto daily,kikirudi mjini akili itakuwa imerudi na kitakuwa kinawaka
Kweli wenye visa watu,muacheni mtoto wa watu.
mbona bado analipa.Huo ni wivu wa kike.
...Teh! tehh! Tehhh!! Mkuu mbona kile kidonda kiko kwenye goti...au alikuwa kwenye mashambulizi?!Madhara ya mizigo toka China ndo hii sasa.
Ila mrembo katumika mno nahisi itakuwa imechangia vipodozi kugonga mwamba