Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Nyooota na ing'aee Wema weeee ....nakuombeaa
anza kujiombea wewe mkuu..........
Nyooota na ing'aee Wema weeee ....nakuombeaa
Duh, nimekosea njia.
Kumbe nilikoment kwenye hili jukwaa?
Kaka/dada nisamehe maana nimetoa komenti hiyo pasipo kujielewa.
Nisamehe sana kaka/dada yangu.
mkuu upo............
umejihamije hapo lol
Ila kusema kweli tuache unafki hiki kibibi bomba kina nyota ya ajabu sana, hasa ile ya kutumbukizwa midudu ya kila aina na anawaruhusu watumie mitandao yote anayo sana tena sana.