Dah hizi Tamthilia bana, ila yote yanawezekana tu maana kwa akili ya kawaida Manager hawezi jua mambo ya chumbani kipindi hawa watu wanabembelezana huku wamekumbatiana wakiombana na kupena kama wapenzi.
Sijui yupi Mkweli hapo.
Na iyo ni hii hii BBC ya UK ama?